Shilole: Mimi ndiye mwanamuziki mrembo zaidi kwenye muziki

Hivi yule giddy ni mchaga? Kilichombeba ni umri, sio tako, akifika 30s lile tako litanyauka, maana anaonekana kama wale wachaga fulani.
Mkuu kuna watu wanazeeka na matako yao ujue
 
 
Umemalizaaaa mkuu yaani umeslay!
Shishi mzuri sawa ila kuna wazuri zaidi yake. Tena kama kwa Meninah na Malaika ndo hanusi kabisa!
lakn mwandishi kapotosha alichosema shilole ni kuwa yeye ni mwanamke mzuri hakuna anayebisha,hajasema yeye ni mwanamke mzuri kuliko wote katka industry yote ya muzik wa bongo flava.
 
Nawajua mademu kumi mtaani kwetu wazuri kuliko huyu pimbi ajuza
 
Hizo nyweze ni za asili..? Huo mdomo je mbona umeeiditiwa...
 

jamani shilole kapendeza sana na huto tu chuchu saa sita kama vile Nick minaji au Jeiloo .....Hongera bi I love is my country
 
Sioni tatizo kwa kuwa ni yeye mwenyewe kajisemea,ni vizuri kujikubali mwenyewe kabla wengine hawajakukubali
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…