angedizzle
JF-Expert Member
- Aug 8, 2011
- 590
- 504
Weka picha.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Weka picha.
Mkuu kuna watu wanazeeka na matako yao ujueHivi yule giddy ni mchaga? Kilichombeba ni umri, sio tako, akifika 30s lile tako litanyauka, maana anaonekana kama wale wachaga fulani.
Matumizi gani unamaanisha? Masogange analo la haja ila hata chumba cha kupanga hana anaishi instagram
Mmh wewe huyo, uokoke? Hata shetani atashangaabinamu siku hiz nimeacha umbea, nimeokoka
Alianza Barnaba Boy mkuuu!Mbona ni nuhu mziwanda tu, hakuna mtu mwingine aliyewahi kuhusiana naye miongoni mwa wanabongo fleva.
Meninah,Recho,Malaika...shishi akajipange,Kwa Rah P tu hagusi
Shilole amejigamba kwa kudai kuwa hakuna msanii mzuri kama yeye, kwani ana uzuri wa asili bila vipodozi.
Alikuwa akizungumza katika kipindi cha 5SELEKT cha EATV Jumanne hii.
“Mimi ni mwanamke mzuri without make up (bila vipodozi), unaweza ukaniamsha usingizini na nikaenda popote bila makeup, katika Bongofleva mimi ni mwanamke mzuri sana hamna anayebisha,” alisema Shilole.
kasema "hakuna msanii mzuri kama yeye" au kasema "yeye ni mwanamke mzuri sana hamna anayebisha"? naona umemsingizia hapo.
lakn mwandishi kapotosha alichosema shilole ni kuwa yeye ni mwanamke mzuri hakuna anayebisha,hajasema yeye ni mwanamke mzuri kuliko wote katka industry yote ya muzik wa bongo flava.Umemalizaaaa mkuu yaani umeslay!
Shishi mzuri sawa ila kuna wazuri zaidi yake. Tena kama kwa Meninah na Malaika ndo hanusi kabisa!
Bro huna data,hapo Barnabas classic kapiga saaanaMbona ni nuhu mziwanda tu, hakuna mtu mwingine aliyewahi kuhusiana naye miongoni mwa wanabongo fleva.
![]()
Shilole amejigamba kwa kudai kuwa hakuna msanii mzuri kama yeye, kwani ana uzuri wa asili bila vipodozi.
Alikuwa akizungumza katika kipindi cha 5SELEKT cha EATV Jumanne hii.
“Mimi ni mwanamke mzuri without make up (bila vipodozi), unaweza ukaniamsha usingizini na nikaenda popote bila makeup, katika Bongofleva mimi ni mwanamke mzuri sana hamna anayebisha,” alisema Shilole.
Katika hatua nyingine Shilole amekanusha kutoka kimapenzi na msanii Nedy Music, baada ya kuzagaa picha katika mitandao ya kijamii zikimuonyesha wakiwa karibu zaidi na msahii huyo.
Ila nasikia Fundi sana huyu awepo 6 kwa 6... Ana uhamisha tuMda wao wa kuspendi ulisha isha nadhani! awaachie wadogo zake kina tunda