Shilole: Mimi ndiye mwanamuziki mrembo zaidi kwenye muziki

Endelea kucheza uchi uchi usifiwe wewe sio mrembo watu wanapenda kukuona ukicheza uchiuchi ...fainali uzeeni
 
Ni haki yake kabisa kujisifia kwakuwa ukisubiri kusifiwa unaweza kuangukia pua! Lakini tuje kwenye uhalisia sasa je anachokiongea kina ukweli?
 
Hawa waone kwenye TV na picha za kuedit mkuu, ukiwaona macho kwa macho utashangaa.
Mara ya kwanza kumuona Kidoti face to face nilichoka sana,mademu wa uswahilini wengi wazuri kuliko hawa mastaa wa kibongo bongo sema wao wanakosa matunzo na exposure.
 
Kidoti taa za camera na make up zinaMbeba. Ukichanganya na viatu virefu. Huyo shish siku nikimuona naweza kuyeyuka mazima
 
HICHO KICHWA ETI HAKINA MAKE-UP, ORIGINAL KWELI HICHO? DOMO VP MBONA KAMA YULE MNYAMA WA PORINI
 
Dah... watu mna majungu jmn.. shishibebi angeona hizo comment.. hakika angestaafu mziki.

Anyway.. shishi hamna cha uzuri wowote wala nn... makeup zinasaidia. Make up zinaficha mengi jmn
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…