Shilole: Mpenzi wangu ndiye anayenitibu vizuri


Isije ukawa wa kurithi. Si unajua vya kurithi vinazidi.
 

kule mbezi beach kwa kina mange nilifikuzwa, wazee walilalamikiwa sana na majiran kuwa nimezid umbea wakaenda had serikal za mitaa nikahama binamu, sasa ivi tumepangisha maana nilikuwa nakaa mm na mtoto wa mama angu mdog
 
kule mbezi beach kwa kina mange nilifikuzwa, wazee walilalamikiwa sana na majiran kuwa nimezid umbea wakaenda had serikal za mitaa nikahama binamu, sasa ivi tumepangisha maana nilikuwa nakaa mm na mtoto wa mama angu mdog

Mmmh binamu unachangamsha tu ili nichekee tu,,si bora urudi nyumbanii ,,lakini si na kazi unafanya muda wa kushinda nyumbani unautoa wapii ,na demu wako jee yupo wapiii
 
Mmmh binamu unachangamsha tu ili nichekee tu,,si bora urudi nyumbanii ,,lakini si na kazi unafanya muda wa kushinda nyumbani unautoa wapii ,na demu wako jee yupo wapiii

mimi nilioaa kabisa , wife akaenda kujifungua kwao mpaka leo hajarud na simu haipatikan
 
mimi nilioaa kabisa , wife akaenda kujifungua kwao mpaka leo hajarud na simu haipatikan

Kwanini hujamfatiliaaa wakati ana mtoto wako,hata fb hapatikanii??kwa hiyo kumbe watu walicheza viduku kwenye harusi yako?
 
Kwanini hujamfatiliaaa wakati ana mtoto wako,hata fb hapatikanii??kwa hiyo kumbe watu walicheza viduku kwenye harusi yako?

Mimi mwenyew nimeshukur kanipunguzia mzigo, mtoto akikua ndo ntaenda kufanya timbwil
 
Achen kuponda si kahojiwa,kaulizwa ndio akajibu??
Mbona Miley Cyrus amwaga radhi huko daily,ama RiRi,ama Kim K hamuwaoni??.
Ila akiulizwa She-roll-it kinawawasha.
Btw namtamanigi haswaaa,Zuwena Mohammed,mtoto maashallah.
Fanya yako mama,naongojea ujirekodi ki-clip wakware tuwe tunajimaliza nacho lol.
 
Kwan si waliachana hawa.???usupastar karaha tena tabuuu
 
Mkeo akukimbie hivi hivi au alikuchoka na umbea wako.Inaonekana hadi yeye ulikuwa unamfanyia umbea usikute.

No, unajua ipo eeh?? Mtu kama dizain za kina warumi obviously lazima apate wanawake wa aina yake, ni vigumu sana huyu warumi kuishi na mwanamke kama vanesa mdee au jokate, lazima atapata wale wanawake wa aina yake kama huyo warumi, kuna sample za mademu wao kwao wanaume wanao entertain gossips au kuwa na maneno mengi kama warumi (sio mimi) hawawez kuishi nao kabisa wala kuendana.

Mimi kiuhalisia ni mpole sana, sina maneno na ni vigumu kuzoeleka na watu ovyo, halafu ni mtu wa aibu sana, haya mambo ya kina warumi ni life experience tu na vitu ambavyo vipo kwenye jamii yetu so ninajaribu kuwa portray watu wa dizain hiyo ila mimi mwenyew sihusiki kabisa na maisha ya warumi na wala simjui, hahaha ahahaha
 
Last edited by a moderator:

Binamu umeandika wewe au kuna mtu kakuibia id yako.Hongera kwa hilo.
 
Last edited by a moderator:
Wamekusikia wenzio subiri wakuonjee chumvi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…