ROBERT MICHAEL
JF-Expert Member
- Oct 23, 2012
- 5,054
- 2,858
Binamu unanivunja mbavu aiseee,mbona mi najua umbea wako ni wa mastaa tu hadi nyumbanii basi we kibokoo,binamu mbona ulisema unaishi mbezi karibu na kina Mange ndio kwenu
Huyo mzee mwenye nyumba akikusumbua mwambie hivi" unamjua Dinazarde" hatakusumbuaaa,kwani binamu umbea ulijifunzia wapii
Isije ukawa wa kurithi. Si unajua vya kurithi vinazidi.