General Mangi
JF-Expert Member
- Dec 21, 2013
- 15,303
- 23,064
Wakuu kwa huu msumeno wa Magu na hizi taarabu za madem wa siku hizi, Wanaume tutapona kweli?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
anajituma wapi mkuu kitandani au?Pamoja na kwamba katumika sana lakini ni mtamu kweli na anajituma balaa
Nan huyo mkuu??Pamoja na kwamba katumika sana lakini ni mtamu kweli na anajituma balaa
Kwenye sayanzi enzi za LY, tulifundishwa, MZIGO, JUHUDI NA EGEMEO......Pamoja na kwamba katumika sana lakini ni mtamu kweli na anajituma balaa
Mkuu, bora hata huyu kasema wazi... WALIO WENGI WANSEMEA KIMOYOMOYONaona siku hizi pesa imekuwa kipimo cha kutupima uanaume wetu..Interesting
Nakuonaa nakuonaa...shilawaduNan huyo mkuu??
Unamzungumzia shishi??
Ushaloweka kamba kwake nn??
Hebu tupe ushuhuda mkuu vr interesting kind of ubuyu[emoji12] [emoji13] [emoji14]
Hivi kwa nini wanawake wakifanikiwa kabla ya mwanaume wanakuwa jeuri sanaMkuu, bora hata huyu kasema wazi... WALIO WENGI WANSEMEA KIMOYOMOYO
ulisha mpitiagaa???Pamoja na kwamba katumika sana lakini ni mtamu kweli na anajituma balaa
Yaani hapo ni shida..Hivi kwa nini wanawake wakifanikiwa kabla ya mwanaume wanakuwa jeuri sana
Huyo anaujua hata utamu wako, though pengine hajakupitiaulisha mpitiagaa???
hakikaMambo ya pesa huwa yanatuumiza sana vidume.