Shilole na mtoto mdogo mdogo

jerrysonkiria

JF-Expert Member
Joined
Sep 5, 2014
Posts
2,228
Reaction score
2,901
Hivi shilole kwanini anapenda kuwachukua vijana wadogo?

Ni kwamba wanamfurahisha zaidi kitandani au sababu anaweza kuwamudu kwa kuwapiga makofi? Kama ilivyo kwa Madee mpaka akamkana demu wake wa zamani Zahra?....

Siri ya shilole ni nini haswa?.
 
Jamani acheni unafiki hata na wanaume wa 40 plus kwa hivi vi 20's hatujambo! Yaani ule utofauti wa umri una raha sana kwa mmoja wapo!mwacheni Shishi apate mgegedo non stop hizo za wazee wenzake mpaka zipepewe ,alot of intervals tena loong intervals za nini?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…