Evelyn Salt
JF-Expert Member
- Jan 5, 2012
- 70,916
- 141,437
😀😀😀
Eti anakutoa kwa mke pumbaav zake
Eti anakutoa kwa mke pumbaav zake
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hivi humu JF lady hamna wamama na mimi nitafute Kiki ndiyo kwanza tumiaka twangu tunakaribia 20.VIJANA WA SIKU HIZI KAZI HAWATAKI KUFANYA NI WAVIVU KUPINDUKIA WANATAKA VYA BURE NDO HIVYO VIMEKUTOA ROHO hahahaaaaaaaaaaaaaaaa SAFI SANA SHOSTI SILOLE
Dah masikini kwann hakujifunza kwa Mziwanda?Maslahi vijana hawataki kazi
Subiria nikue kue Daby niwe mmama ntakuita nikupe vya buree[emoji85] [emoji85] [emoji85] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3]Hivi humu JF lady hamna wamama na mimi nitafute Kiki ndiyo kwanza tumiaka twangu tunakaribia 20.
Utanipost lakini au umaarufu wangu utaishia chumbani?Subiria nikue kue Daby niwe mmama ntakuita nikupe vya buree[emoji85] [emoji85] [emoji85] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3]
Sent using Jamii Forums mobile app
Ntakupost Daby wala usiwazeUtanipost lakini au umaarufu wangu utaishia chumbani?
Haha... eti na mimi nalelewa
Ntakulea vyema kabisa Niamini mm nikishakuwa jimama mamaa ya pesa mingi mtaalumu wa vijana kuwaoshea nyota za instaa na fesibukuHaha... eti na mimi nalelewa
Haha
Yan kuna vitu vingine hata kuvisoma vinatia ukakasi kooni!
Yan kijana wa kiume mweny mdudu anaesimama sawia inakuwaje lkn utake matangazo? Mbaya sana hiii......
Ila kuna wamama wanatiwa jaman khaaaa! Shilole hatarii hyo papuchi sa hv akiwa anakojoa mkojo unatawanyika
Sent using Jamii Forums mobile app
Eeee kiongozi maana si kwakupenda dushee kiaisi hiki aseee[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2] nimecheka kweli eti mpaka mkojo unatawanyika asee.
Angekuwa ndugu yangu ningemzawadia bando la makofi. Yaani bila aibu dume lenye mzigo wa mbupu chini ya miguu linakuja kulia kwny social media eti 'lilitongozwa' na mwanamke 'likaahidiwa' gud life na 'ndoa'!! Hii dunia sijui inakwenda wapi Yarabi!Hii ni picha waliyopiga kipindi mapenzi ni moto
View attachment 582597
Kama Ilivyo kawaida Wabongo tupe title habar tutajaza wenyewe. Kwa caption hizi za Uchebe mambo yanaonekana sio mazur Yeye na Shishi baby. View attachment 582600 View attachment 582601 View attachment 582602
Hahaha....analilia kupostiwa[emoji23] [emoji38] kweli "brain is the beautiful part of the body"Dogo analilia shishi ampost!
Ahahah huu umarioo utawaua madogo wa dar