Shilole: Nimekoma na ningejua hata nisingejichubua

Huyo alianzia kwenye enzi za bleech ya nguo na sabau za jaribu sasa ngozi imeshakataa.........
 
umeona eeeh!!
mara nyingi wengi wanaishia kujuta ila mijitu haikomi

Huwa nashindwa hadi kushangaa, hivi unawaza nini hadi unajichubua?? Kwamba weusi ni ugonjwa au laana sijui? Hivi kuna mtu ashawahi kufa kwa sababu ni mweusi?? Kweli ujinga na kutojiamini ni dhambi kubwa sana. Me mweusi tena mbayaa but najiamini ova
 
Angemuuliza vera sidika ule mkorogo wake classic ameupatia apii...!
 
shost dont try at home,at school au kwenye mwili wako

Kuna mdada anaipaka yenyewe tu,kapendezajee,mi nadhan wengine wanaichanganya na maji yake na tube unadhan hapo inakuwajeee
 
Hiyo dodo nasikia ndio hatari vibaya saaana maana kuna mdada waliweka picha yake jinsi ilivyomharibu

Hakuna kitu kama hicho bidada.
Waliotengeneza ile picha iliyokua inatumwa whatsapp ni kampuni ya Angels ya huko huko DRC ambayo ni wapinzani wakubwa na wazalishaji wa Dodo.
Ukitaka dodo ikukubali zaidi uwe na bajeti ya Elfu 60 ukienda dukani;

1.Mafuta-15,000/=

2.Sabuni-6,000/=

3.Maji yake(glyverline)-10,000/= mpya.

4.Dodo handcreme-7500/=
5.Dodo face & body scub-12,000/=

6.Dodo skin treatment-9,500/=.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…