Shilole: Nitagombea Ubunge Igunga

Shilole: Nitagombea Ubunge Igunga

Chadema wameufanya ubunge kuwa kitu rahisi,sugu katuharibia bunge.

Hao kina Shilole wanagombea kupitia CHADEMA? Kina Kibajaj, Komba (RIP), kina Kapuya, Mtemvu ndio wabunge wa viwango bora kabisa wa CCM, na wamelifanya bunge ling'ae:sly:
 
Atatufaa kwa lipi...au anaenda kuwafaa wabunge wa kiume wawapo Dom
 
Nitawashangaa wananchi wa Igunga wakifanya upuuzi huo. Yaliyotokea Mbeya yabakie Mbeya achaneni kuiga ujinga kama wenzenu waluvyomchagua Sugu. Ule ni uhayawani tu
 
Mbona marehem capt. John komba mwanamuziki alikua mbunge? ?
 
Duh hats maboga yanataka kugombea ubunge ..basi kazi tunayo mwaka huu
 
bunge co club ya kupeleka wanenguaj kma shilole. cha kusitisha hata mbunge wa ss hamjui inadhihirisha anajua wanenguaji wenzake.
 
Bidada anasaka kiki kwa gharama yeyote.. Kweli hakuja dar kushangaa viberiti!
 
SHILOLE huyu huyu wa NUHU au kuna mwingine wa Igunga?
 
nonsense, kuongoza watu ni zaidi ya kuyaanika maungo yako wazi kwenye jukwaa na kuudhalilisha utu wako. labda atafute harlots constituency
 
Mbona marehem capt. John komba mwanamuziki alikua mbunge? ?

Kuna utofaut mkubwa sn kati yao huyu demu ana sfa y kuwa mbunge,aendele tu kupga pcha zake z uchi n uyo boya wake nuh ,ila acjarbu kugombea ubunge
 
Back
Top Bottom