Shilole, wewe ndiye hovyo zero kabisa. Pierre Konki Liquid kuwa makini na usalama wako tena sana

Shilole, wewe ndiye hovyo zero kabisa. Pierre Konki Liquid kuwa makini na usalama wako tena sana

watu wamemnyamazia yake mengi anadhani wanamuogopa?alipigwa mtungo hatari kwenye fiesta huko singida,wazee walipiga front hadi mtaro kalewa ndiiiiii hadi kachafua mazingira ya uani na ile skendo ya kushea mkuyenge wa mziwanda na bintiye je?.usituchefue kabisa we dada. PIERE ATABAKI KILELENI.
Haikuvuja video nini maana inaonekana hata aibu hana?

Sent using unknown device
 
Pole sana mzee wa liquid, wewe hauna madhara kwa mtu yoyote yule,kila mtu anajua hauna shida na mtu maskini all you do is to make us laugh kumbe UMAARUFU wako kuna WARUGARUGA UNAWAUMA SANA haswa baada ya kununua gari wakati wengine walitumia hadi mabavu kuwasweka watu ndani kuwabambikia kesi na kuchukua mandinga yao
Waliokuwa wanasema pierre liquid issue ni kama ya Dr shika mtaamini sasa kwamba ni tofauti kabisa, Shika na wengine wanaotumikaga ku divert attention kwenye mambo mazito hawajawahi kuwa LAMBASTED na kamati ya roho mbaya sababu walikuwa kwa kazi maalumu
Kwa liyeangalia ugeni wa taifa stars majuzi ikulu pale makamu wa Rais alipomsifia konki liquid na kusema hakufurahia mambo ya bashite ya ofa za pombe unaona kabisa kuna watu walinuna,kesho yake le mtumboz akaandika makala kubwa ya le akilizi kubwa kumkandia pierre na kumuita wa hovyohovyo maneno ualiyorudiwa jana na bashite
Cha kusikitisha Shilole naye kashiriki kumuita eti hana akili.Hata wewe mamaaaa?uliyeshea mkuyenge wa yule msanii na binti yako mkubwa?wewe uliyebakwa front and back kwenye fiesta tour ukiwa umelewa chakari hadi ukajichafua UANI?
Piere kuwa makini tu ,kamati ya roho mbaya ni hatari hiyo,kwenye pombe ukienda chooni nenda na kinywaji chako kabisa na ukiona Noah nyeusi kimbia kimbiaaaa
Kwenu nyie tena wakolomije?issue za watu kama kina piere zipo dunia nzima,huwa hawadumu hao,let him enjoy his moment jamani,WALISHATOKEA KINA GITHERI MAN WA KENYA, HOT FELONY WA USA na kadhalika..daaaah
View attachment 1058644
Ila Bashite akawihi kumpoteza Pierre__liquid kwa kutumia genge lake la makirikiri.
 
Hilo kahaba linatiwa mavidole jukwaani mlevi mbwa kabisa anapata wapi uhalali wa kumuongelea pierre mzee wa liquid?

Umaarufu wa pierre haukuja kwa kiki mtu alimchukua video akiwa yupo maji anafurahu na hapo hapo fursa zikamfungukia ni watu wenye roho mbaya wanayeweza kumchukia mtu ambaye haingilii chochote unachofanya wala hajakudhuru

Muda umeamua sasa ni zamu ya pierre liquid na atabaki kuwa juu [emoji928][emoji928]

Live and let live 🥃
 
Kuna watu Ni Vilaza Sana

Zile Kashfa zao kwa Pierre Ni kashfa kwa mwenyeji wa shughuli ile Mh.Jokate

Aliemualika Paul Makonda, Shilole ndio huyo huyo ndie alimualika Pierre , Pierre hakujileta kaalikwa kwa Kadi Kama wengine

Kushambulia watu wanaowapa Kiki Walevi maana yake Ni kushambulia aliemualika

Mie simpendi Pierre kwa kuwa sivutiwi Na aina ya sanaa yake lakin Najua Hata wale ambao Mie nawapenda Pia kuna watu hawawapendi

Kama umaarufu unatokana Na akili ya Mtu Au Maarifa ya Mtu Basi Makonda Na Shilole wasingekuwa maarufu


Chanzo ha Umaarufu wa Makonda Ni kumtwanga Makonde ya nguvu hadharan Waziri Mkuu Mstaafu Ndugu Warioba
Chanzo Cha Umaarufu wa Shilole Ni kukatika viuno vya kitandani hadharan halafu wanashangaa Mlevi Kuwa Maarufu
Uko sahihi kabisa
 
Mnyonge mnyongeni haki yake mpeni alichosema makonda ni sahihi "hatuwezi kutokomeza zero kwa kupromote mambo ya kijinga"

Hapa kwetu vitu vya kijinga ndo vinapewa attention kuliko mambo maana hata mm ako kajamaa kananikera
katamkuka na bi mkubwa wako, iki ukeleke vzr, maana ankala ya matumiz kanayo!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mnyonge mnyongeni haki yake mpeni alichosema makonda ni sahihi "hatuwezi kutokomeza zero kwa kupromote mambo ya kijinga"

Hapa kwetu vitu vya kijinga ndo vinapewa attention kuliko mambo maana hata mm ako kajamaa kananikera
Mjinga ni huyo aliyemkaribisha Mrevi kwenye Tokomeza ziro.Pale mambo ya kuongea yalikuwa mengi nashangaa Makonda anaongea Mipasho pale.
 
Mnyonge mnyongeni haki yake mpeni alichosema makonda ni sahihi "hatuwezi kutokomeza zero kwa kupromote mambo ya kijinga"

Hapa kwetu vitu vya kijinga ndo vinapewa attention kuliko mambo maana hata mm ako kajamaa kananikera
Hakuna usahihi wowote kutoka kwa makonda yeye mwenyewe amepata zero tena FFFFF atatoa wapi mbinu za kutokomeza ziro kwa wengine wakati kwake kashindwa? Makonda WIVU ndio umemsukuma kusema hayo baada ya mama Samia Suluhu kumsifu piere siku wachezaji walipo alikwa ikulu, mama hakumsifu makonda kwa chchote bali alisifu uhamasisaji wa piere, akitaka kutokomeza zero arudie mitihani yake na afaulu atueleze ametokomezaje zero, bora pier ni mjasiriamali yeye makonda ukiacha kubebwa anaweza kufanya nini?
 
Mnyonge mnyongeni haki yake mpeni alichosema makonda ni sahihi "hatuwezi kutokomeza zero kwa kupromote mambo ya kijinga"

Hapa kwetu vitu vya kijinga ndo vinapewa attention kuliko mambo maana hata mm ako kajamaa kananikera
Funga viwanda vya bia. Unasemaje kupromote walevi wakati kila siku advertisement na promo za vilevi mbalimbali zinajaa kwenye social media?



.
 
Pole sana mzee wa liquid, wewe hauna madhara kwa mtu yoyote yule,kila mtu anajua hauna shida na mtu maskini all you do is to make us laugh kumbe UMAARUFU wako kuna WARUGARUGA UNAWAUMA SANA haswa baada ya kununua gari wakati wengine walitumia hadi mabavu kuwasweka watu ndani kuwabambikia kesi na kuchukua mandinga yao
Waliokuwa wanasema pierre liquid issue ni kama ya Dr shika mtaamini sasa kwamba ni tofauti kabisa, Shika na wengine wanaotumikaga ku divert attention kwenye mambo mazito hawajawahi kuwa LAMBASTED na kamati ya roho mbaya sababu walikuwa kwa kazi maalumu
Kwa liyeangalia ugeni wa taifa stars majuzi ikulu pale makamu wa Rais alipomsifia konki liquid na kusema hakufurahia mambo ya bashite ya ofa za pombe unaona kabisa kuna watu walinuna,kesho yake le mtumboz akaandika makala kubwa ya le akilizi kubwa kumkandia pierre na kumuita wa hovyohovyo maneno ualiyorudiwa jana na bashite
Cha kusikitisha Shilole naye kashiriki kumuita eti hana akili.Hata wewe mamaaaa?uliyeshea mkuyenge wa yule msanii na binti yako mkubwa?wewe uliyebakwa front and back kwenye fiesta tour ukiwa umelewa chakari hadi ukajichafua UANI?
Piere kuwa makini tu ,kamati ya roho mbaya ni hatari hiyo,kwenye pombe ukienda chooni nenda na kinywaji chako kabisa na ukiona Noah nyeusi kimbia kimbiaaaa
Kwenu nyie tena wakolomije?issue za watu kama kina piere zipo dunia nzima,huwa hawadumu hao,let him enjoy his moment jamani,WALISHATOKEA KINA GITHERI MAN WA KENYA, HOT FELONY WA USA na kadhalika..daaaah
View attachment 1058644
Hahahaa........ Mama Ubeche!
 
Mnyonge mnyongeni haki yake mpeni alichosema makonda ni sahihi "hatuwezi kutokomeza zero kwa kupromote mambo ya kijinga"

Hapa kwetu vitu vya kijinga ndo vinapewa attention kuliko mambo maana hata mm ako kajamaa kananikera
Hcho unachosema Bashite kufanya hivyo ni jambo la msingi,ninakataa katu katu maana hao wote wametokea kwenye mbo ya hovyo hovyo,kwani hamkumbuki Kiki ya Bashite ya kumpiga Judge Kibao? Je hayo Mambo huwa wanafanya waungwana au watu wa hovyo hvyo!?
Ujinga Ni nn,Ni hali ya kumchukia mtu ambaye kashafika kwenye Lime light bila kuomba promo kwa Mitutu ya bunduki wala kukaa uchi
 
Ha ha ha mi ndo nimemjua leo, makonda bashite kampaisha ile kinoma.

Ila kwa wanavyo charuana, tutegemee mkuu kuingilia kati kumtumbua mtu kwa kumtetea kjana wake.

Jocket, Kigwangala, Mwakyembe, na Mh Samia wote wamekuwa tofauti na jumba jeupe, ngoja tuone mwisho wa movie hii.
Zaidi naona Pierre Likwidi akizidi kuwa juu....

Kwa tusiompenda makonda tunakuwa upande wake

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mnyonge mnyongeni haki yake mpeni alichosema makonda ni sahihi "hatuwezi kutokomeza zero kwa kupromote mambo ya kijinga"

Hapa kwetu vitu vya kijinga ndo vinapewa attention kuliko mambo maana hata mm ako kajamaa kananikera
Amealikwa kuchangia na kachangia.

Vipi, unaweza kutokomeza zero kwa kujihusisha na zero? Shituka wewe

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom