Pre GE2025 Shime ndugu Watanzania, twendeni tukajiandikishe Kwa ajili ya uchaguzi wa 2025

Pre GE2025 Shime ndugu Watanzania, twendeni tukajiandikishe Kwa ajili ya uchaguzi wa 2025

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

Rabbon

JF-Expert Member
Joined
Apr 16, 2022
Posts
21,625
Reaction score
33,688
Salaam ,shalom!!

Tayari zoezi la kuboresha taarifa katika daftari la wapiga kura limeanza, tujitokeze Kwa wingi maana mbeleni hutopata fursa hii adhimu.

Haya mambo ya Tindo kugomea kupiga kura Kisha unawatuhumu chama kile kuiba kura Ukiwa nyuma ya keyboard, tuachane nayo.

Mungu ibariki Nchi yangu nzuri niipendayo TANZANIA 🇹🇿. Amen

Karibuni 🙏

Pia soma:Kuelekea 2025 - Asiyepiga kura, Hana HAKI ya kuhoji wizi wa kura, tujitokeze 2024&2025 kupiga kura na kuzilinda
We huogopi
 
Salaam ,shalom!!

Tayari zoezi la kuboresha taarifa katika daftari la wapiga kura limeanza, tujitokeze Kwa wingi maana mbeleni hutopata fursa hii adhimu.

Haya mambo ya Tindo kugomea kupiga kura Kisha unawatuhumu chama kile kuiba kura Ukiwa nyuma ya keyboard, tuachane nayo.

Mungu ibariki Nchi yangu nzuri niipendayo TANZANIA [emoji1241]. Amen

Karibuni [emoji120]

Pia soma:Kuelekea 2025 - Asiyepiga kura, Hana HAKI ya kuhoji wizi wa kura, tujitokeze 2024&2025 kupiga kura na kuzilinda
[emoji7][emoji7]

Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
 
Salaam ,shalom!!

Tayari zoezi la kuboresha taarifa katika daftari la wapiga kura limeanza, tujitokeze Kwa wingi maana mbeleni hutopata fursa hii adhimu.

Haya mambo ya Tindo kugomea kupiga kura Kisha unawatuhumu chama kile kuiba kura Ukiwa nyuma ya keyboard, tuachane nayo.

Mungu ibariki Nchi yangu nzuri niipendayo TANZANIA 🇹🇿. Amen

Karibuni 🙏

Pia soma:Kuelekea 2025 - Asiyepiga kura, Hana HAKI ya kuhoji wizi wa kura, tujitokeze 2024&2025 kupiga kura na kuzilinda
Tanzania hakuna uchaguzi, bali kuna maonyesho ya ujinga wa mtu mweusi kwenye box ka kura. Wanaopiga kura kwa mazingira haya ni mazombie, ama ni wanaofaidika na mazingira haya.
 
Kuna kifo kitatokea kabla ya December 31 mwaka huu, hicho ndiyo kitaamsha hamasa ya watu kujiandikisha.
 
Tanzania hakuna uchaguzi, bali kuna maonyesho ya ujinga wa mtu mweusi kwenye box ka kura. Wanaopiga kura kwa mazingira haya ni mazombie, ama ni wanaofaidika na mazingira haya.
Uchaguzi wa mambugira
 
Back
Top Bottom