Shime Watanzania tuupiganie Uhuru wetu unaoporwa. Tutajuta!

Tukija kushtuka kumekucha. Jamaa anajiona bingwa sababu ya umbumbumbu,uwoga na ubinafsi.Hata wana ccm wananung'unika ila hofu ya "njaa,kisasi" inawatafuna.UNAFIKI KWA KWENDA MBELE!
 
Mwalimu Nyerere na wenzake walipambana na mkoloni siyo kwasababu walitaka nchi yetu ipate ama ijenge vitu la hasha..
Hata wakoloni tungewaacha wangekuwa wameshatuletea maendeleo Kama barabara,majumba mashule n.k,,,,,,,tuliwaondoa wakoloni ili tupate UHURU.Nini maana ya uhuru?

Ni khali ya kuwa huru hata Kama ni maskini wa vitu au mawazo.Kumbe;Kama nchi zote za Afrika ziliwafukuza wakoloni,basi zilikuwa tayari kuwa maskini wa vitu ili tu ziwe HURU.
 
Hata huyo Nyerere unayemsifu hapa haujui tu ni jinsi gani alikuwa MWOVU kuliko unavyodhani.

Yeye ndiye chanzo cha udikteta na mifumo mingi mibaya kwenye hii nchi.

Waliomfuata walikopi na kupesti tu.
 
Naaam, tunacheka na nyani.....
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…