Shime! Watanzania wenzangu, kesho 1/12/22 twendeni tukapime VVU

Shime! Watanzania wenzangu, kesho 1/12/22 twendeni tukapime VVU

zandrano

JF-Expert Member
Joined
Jan 24, 2017
Posts
7,893
Reaction score
8,816
Kesho tarehe 1/12/2022 twendeni tukapime maambukizi ya vvu ili kujua afya zetu. Endapo utakuwa umeathirika unaweza kutumia dozi ya ARV na kuepusha maambukizi zaidi.

Shime wafanyakazi wa sekta zote, majumbani, wafanyakazi wa majumbani, n.k twendeni kesho tukapime VVU.

Nashauri wahudumu wa afya watembelee maofisini na majumbani kupima na kutoa ushauri nasaha.

Nashauri viongozi wetu nchi nzima waonyeshe mfano kwenda kupima hadharani ili kuhamasisha watanzania wote.

Tanzania bila mambukizi ya Ukimwi inawezekana. tuamue.
 
Kesho tarehe 1/12/2022 twendeni tukapime maambukizi ya vvu ili kujua afya zetu.
endapo utakuwa umeathirika unaweza kutumia dozi ya arv na kuepusha maambukizi zaidi.

Shime wafanyakazi wa sekta zote, majumbani, wafanyakazi wa majumbani, n.k twendeni kesho tukapime vvu.
Hongera mkuu kwa kuhamasisha jambo hili muhimu, ninakuunga mkono na mimi mapema sana kesho nawahi kwenda kupima kujua afya yangu

Twende tukapime tupate huduma za kujikinga na kupunguza maambukizi mampya ya ukimwi
 
,.
IMG_20221126_124759.jpg
 
kumbuka kesho tarehe 1/12/2022 kwenda kupima VVU bure.
Taifa imara litajengwa na watu wenye afya imara.
 
Hongera mkuu kwa kuhamasisha jambo hili muhimu, ninakuunga mkono na mimi mapema sana kesho nawahi kwenda kupima kujua afya yangu

Twende tukapime tupate huduma za kujikinga na kupunguza maambukizi mampya ya ukimwi
WAZUNGU WANACHEKA SANA WASOMI NJAA WAKIPONGEZA BIASHARA ZA WATU[emoji16][emoji16]
 
Back
Top Bottom