said rashid
JF-Expert Member
- Jul 11, 2011
- 203
- 112
Habari zenu wana Jamiiforums.
Kampuni ya ASSA AGENTS & Co. iliyopo Temeke Buza inataka kuwawezesha kiuchumi wananchi wa kipato cha chini kwa kuwapa mtaji na elimu ya msingi ya biashara, lakini haina wataalamu wa biashara.
Kwa kuona hivyo imetoa fursa kwa mtu yeyote mwenye weledi na mawazo mazuri ya biashara kuwasilisha na kushindana na wenzake watakaojitokeza ili kupata mawazo ya kuwasaidia wananchi na kuwasaidia mtaji ili waweze kuanzisha biashara endelevu.
Mtaji wa biashara usizidi shilingi elfu hamsini. Washindi kupewa shillingi elfu hamsini papo hapo. Unaweza kuandaa kazi yako katika mfumo wa Power point kwa ajili ya presentation au kuprint. Kila mtu anayo nafasi ya kushinda.
Mawasiliano:
0659528724
0768932789
Nyote mnakaribishwa
Kampuni ya ASSA AGENTS & Co. iliyopo Temeke Buza inataka kuwawezesha kiuchumi wananchi wa kipato cha chini kwa kuwapa mtaji na elimu ya msingi ya biashara, lakini haina wataalamu wa biashara.
Kwa kuona hivyo imetoa fursa kwa mtu yeyote mwenye weledi na mawazo mazuri ya biashara kuwasilisha na kushindana na wenzake watakaojitokeza ili kupata mawazo ya kuwasaidia wananchi na kuwasaidia mtaji ili waweze kuanzisha biashara endelevu.
Mtaji wa biashara usizidi shilingi elfu hamsini. Washindi kupewa shillingi elfu hamsini papo hapo. Unaweza kuandaa kazi yako katika mfumo wa Power point kwa ajili ya presentation au kuprint. Kila mtu anayo nafasi ya kushinda.
Mawasiliano:
0659528724
0768932789
Nyote mnakaribishwa