Shingo nyeusi zaidi, pia kwenye vifundo vya vidole vya mkono kuwa na sugu nyeusi , kitambi vyote hivyo ni dalili ya Insulin resistance.. unatumia vyakula vya wanga na sukari kupita kiasi..Chukua hatua za haraka sana unaelekea kwenye ugonjwa wa T2D , Type 2 diabetes, aka kisukari..