Shinyanga: Achinjwa kwa deni la sh 400,000

Binaadamu wamekua zaidi ya wanyama, sijui ni umaskini au ni kitu gani, unatoa uhai wa mtu kwa ajili ya pesa?
 
Pesa mbuzi kama hiyo unamcharanga mwenzio mapanga binaadamu anatisha kuliko Simba
 
Halafu utawasikia wajinga kua watu wa kaskazini wanauana sana...shy inaongoza kwa mauaji ya wazee,waganga,uchawi,visasi
 
Wakopaji huwa mnazingua Sana , mtu anakusaidia alaf unaniona Fala , ni rahsi kuwahukumu wale majamaa Ila ni kitu cha kujifunza pia Kwa wale wadaiwa sugu , somtime natoa bigup Kwa banks kuwafilisi
 
Hata Mimi naendelea kushangaa na Kama Ni kweli ndugu yake na familia yake watakuwa wazembe sana,vinginevyo polisi waanze na hao ndugu kuwachunguza.
 
Huyo baba alijuaje kama hao wauaji walimtaka aende kuomba pesa kwake yeye? Maana yeye hakuwepo na wala mdogo mtu hakuwepo wakati mauaji yanatokea, kwa maelezo ya mdogo mtu, yeye alisikia kelele na kukuta kaka yake ameshafariki tayari, maana alivyogongewa na kumjibu hana alirudi kulala hadi aliposikia kelele. Babata mtu nae alitoka baada ya kusikia kelele. Sasa imekuwaje?
 
Wakopaji huwa mnazingua Sana , mtu anakusaidia alaf unaniona Fala , ni rahsi kuwahukumu wale majamaa Ila ni kitu cha kujifunza pia Kwa wale wadaiwa sugu , somtime natoa bigup Kwa banks kuwafilisi
Lakini kila kitu ni kwa agreement yawezekana agreement zao mtu kufa asipo lipa kwa wakati napo huwez jua
 
Nina mashaka na huyu mdogo wake
 
Laki 4 si pesa ya kuhonga pisi kali unaua mtu kwa ajili ya Laki 4 ya kitanzania?
Kweli umasikini bado upo kwa kasi ya 5G.
 
Maelezo ya mzee na ya huyo mdogo wa marehemu yanatofautiana kidogo.

Maelezo ya mzee ni kama huyo mdogo mtu aliwaona hao watu wawili wakati akimfungulia mlango kaka yake, lakini mdogo mtu anasema yeye alifungua mlango na kurudi Kulala yaani hakuwaona.
 
Hata Mimi naendelea kushangaa na Kama Ni kweli ndugu yake na familia yake watakuwa wazembe sana,vinginevyo polisi waanze na hao ndugu kuwachunguza.
Hata mimi nimeshangaa kuwa walishindwa kutuliza jahazi mapema kabla hayajatokea
 
Jamaa mpumbavu unalalaje chumbani huku ndugu yako yuko sebuleni amezongwa fala sana.. akamatwe kwa uchunguzi
 
Shinyanga hapana wamezidi kwa mauaji kuliko sehemu yoyote Tanzania hata uzalilishaji pia na ubakaji ni huko shinyanga.
Nadhani sababu ni wamechelewa sana kuelimika na ni washamba bado.
Musoma Mara, Shinyanga, Kumezidi hiyo mikoa, ikifuatiwa na Arusha alafu Mbeya.
Sijasikia Lindi au Tanga wakifanya haya.
 
Kuna mikoa ni ya hovyo sana.
Matukio ya hovyo namna hii huwezi kuyasikia mkoa wa Lindi.
Matukio ya hovyo Lindi ni nadra sana
Si ndiyo hata mimi nimekomment hapa hivyo kumbe mawazo yetu yanafanana, tatizo ni dini na elimu hawana.
 
Ujinga ukifunga ndoa na umaskini haya ndiyo matokeo ambapo tofauti ya binadamu na mnyama iko wazi.
 

kahama kuna madini mengi na uzi wangu wa madini niliyoona machimboni nazani tumepata picha.

karibu kwenye watu wamadini
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…