TANZIA Shinyanga: Ajali yaua 5 na kujeruhi 36

TANZIA Shinyanga: Ajali yaua 5 na kujeruhi 36

Watu watano wamepoteza maisha
hapo hapo na wengine 36 wamejeruhiwa vibaya kwenye ajali iliyohusisha basi la kampuni ya Najmunisa T 413 DAY kugongana uso kwa uso na Fuso T 123 DJH katika eneo la Ibadakuli Shinyanga.

Taarifa zaidi zitakujia baadae.


Chanzo: ITV
Uzi upo tayari
 
Watu watano wamepoteza maisha
hapo hapo na wengine 36 wamejeruhiwa vibaya kwenye ajali iliyohusisha basi la kampuni ya Najmunisa T 413 DAY kugongana uso kwa uso na Fuso T 123 DJH katika eneo la Ibadakuli Shinyanga.

Taarifa zaidi zitakujia baadae.


Chanzo: ITV
Pole kwa marehemu
Pole kwa majeruhi
Pole kwa wafiwa, ndugu, Jamaa na marafiki.

Roho za marehemu zilale zinapostahili.
 
Back
Top Bottom