LGE2024 Shinyanga: Apatikana na karatasi za kura ambazo zimepigwa kwa mgombea wa CCM zaidi ya 100

Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024

Cute Wife

JF-Expert Member
Joined
Nov 17, 2023
Posts
1,906
Reaction score
5,000
Wakuu,

Kwani yale matokeo walisema saa nne yanakamilika imekuaje?
Your browser is not able to display this video.


Mwanamke mmoja amekamatwa na kura zaidi ya 100 ambazo tayari zimeshapigwa.

Kupata taarifa na matukio ya kimkoa kuhusu Uchaguzi Serikali za Mitaa ingia hapa:
LGE2024 - Special Thread: Orodha ya Mijadala ya Mikoa yote Tanzania Bara inayoshiriki katika Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024

Kilingana na ripoti ni kwamba kura hizo ambazo zimepatikana katika kituo cha Shule ya Msingi ya Mwasele Matengini Shinyanga Mjini, zilikuwa zimepigwa kwa wagombea wa CCM.

Mwanzo plus
 
CCM wapuuzi sana
 
Aibu sana kwa Dr Nchimbi na Makala


Huu uchaguzi umewatoa jasho sana
 
Maombi yangu siku watokee vijana wenye akili nzuri JWTZ na TISS walikomboe hili Taifa dhidi ya udhalimu wa CCM.
Wakiendelea kuichekea ccm ipo siku itatuingiza kwenye Vita vya Civil War.

Mipango waliyopanga kwenye huu uchaguzi wako tayari kwa lolote. Wala hata hawana aibu.
 
Wazungu hawatuiti nyani kutokana na rangi yetu, bali kutokana na matendo yetu.
Sema nini Wazungu wanakula na CCM ndio maana huoni wakijishughulisha......baafa ya huu uchaguzi ambao nina uhakika imetumia fedha nyingi za wahisani utasikia Umoja wa EU umetoa Dola Milioni 231 wahisani.

Ndip maana gesi yetu imepotea kibudu😅😅
 
Technology imesaidia sana kuhabarisha habari.....inaonekana wananchi wamejipanga.

Live updates on spot
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…