Shinyanga: Kijana mwenye matatizo ya akili auawa baada ya kuua watu wawili na kujeruhi kadhaa

Shinyanga: Kijana mwenye matatizo ya akili auawa baada ya kuua watu wawili na kujeruhi kadhaa

Chachu Ombara

JF-Expert Member
Joined
Dec 11, 2012
Posts
6,067
Reaction score
10,938
Vilio na simanzi vimetawala kwa wakazi wa Kolandoto mkoani Shinyanga, baada ya watu wawili kuuawa kwa kukatwakatwa na kitu chenye ncha kali na kijana anayesadikiwa kuwa na matatizo ya akili na kujeruhi watu watatu na kisha wananchi wenye hasira kali kumuua muuaji huyo.
 
Watu wenye hasira nao wakaamua kujichukulia sheria mkononi ni kuua huyu suspect!!!, loooooo tuendelee huko tunakokwenda hatuko mbali na nchi moja hapa SADC ambayo hata ukimkanyaga mtu kwenye ulevi kwa bahati mbaya, unakua umejihukumu kifo.

Je, tukio hili lingetokea pale Stockholm, je raia nao wangemshambulia huyu suspect....kweli crocodile 🐊 will never be the same na 🦎
 
Inasikitisha sana utashangaa viongozi wa Dini wanakuja kusema ni mwisho wa dunia kumbe mtu alikua na matatizo ya akili.
 
.....watu wenye hasira nao wakaamua kujichukulia sheria mkononi ni kuua huyu suspect!!!,loooooo tuendelee huko tunakokwenda hatuko mbali na nchi moja hapa SADC ambayo hata ukimkanyaga mtu kwenye ulevi kwa bahati mbaya, unakua umejihukumu kifo...,je tukio hili lingetokea pale Stockholm, je raia nao wangemshambulia huyu suspect....kweli crocodile 🐊 will never be the same na 🦎
Kwahiyo wewe unamsikitia huyo chizi nae kuuliwa baada ya kuua? Hila sio hao Zaid ya mmoja waliouliwa?
 
Nice job ngoshas.

Kila anayeua nae auliwe, anaevamia kwa ujambaz apelekwe chuma, anayeroga apelekewe mapanga, aliyeruhusu kumuuwa lisu afe, na panya road wote wakaangwe kwenye mafuta pale feli.
Rip chizi na wale wawili.
 
Back
Top Bottom