Shinyanga: Kituo cha Afya chagundulika kuhifadhi Damu kwenye Majokofu ya nyumbani

Ubinadamu umeisha kwa wengine
 
Tunawapongeza hao Watumishi Kwa kujiongeza.Wanaolaumu walipeleka majokofu yanayohitajika?
Unahisi hayo majokofu wamenunua wao kwa utashi wao na pesa kutoka mfukoni? Au ni fungu la serikali kwa ajili ya manunuzi wao wakapiga cha juu wakachukua friji za kueka juice ya nyumbani
 
Eeeehhh jamani, adhabu hapo inafaa iwe kali kabisa
 
Wamemlipa bila kukagua! Na bado aliyelipa hachukuliwi hatua yoyote
 
My God!!!
 
Acha kila mtu ale kwa urefu wa kamba yake.........maana keki inatafunwa kisawa sawa
 
Dawa hapo mzabunj na aliyepokea mafriji walipe pesa na washtakiwe kwa uhujumu uchumi.
 
Kwani hamna specifications na pia kwani hamna Wataalamu wa vifaa tiba Hadi mkapokea majokofu ya nyanya?
Ya kuwekea damu bei yake ni x5 ya haya walionunuwa🤣🤣
 

Attachments

  • IMG_7410.jpeg
    33.5 KB · Views: 3
  • IMG_7409.png
    99.3 KB · Views: 3
  • IMG_7408.jpeg
    18.9 KB · Views: 3
Hebu tuongee kwa mapana medical refrigerator na domestic refrigerator zina tofauti gani kwenye ufanyaji kazi? Na kama ulikuwa na medical one ikaharibika utaacha products ziharibike au utazihamishia kwenye domestic?
Hivi umetafakari kweli? Unadhani damu inahifadhiwa hovyo kama maji? Damu inafanyiwa process nyingi na inatenganishwa na kuwa sampuli tofauti na kila sampuli inahifadhiwa kwenye temperature yake. Unapotoa damu siyo kwamba inatumika kama ilivyo.
 
Hapo unaweza kuta mletewaji na mletaji (mzabuni) hawajui ni kitu gani kinatakiwa, pia unaweza kuta zabuni haikueleza aina ya jokofu. Probably uzembe umeanzia mbali.
 
Hebu tuongee kwa mapana medical refrigerator na domestic refrigerator zina tofauti gani kwenye ufanyaji kazi? Na kama ulikuwa na medical one ikaharibika utaacha products ziharibike au utazihamishia kwenye domestic?
Hizi domestic fridge hazina thermostat ambayo inakuwezesha kuset temperature inayotakiwa kwa kuhifadhi sampuli maalumu kawa dawa, reagent na damu kma hivo.
Wangekua smart kidogo wangenunua hata sub zero thermometer zinafungwa hapo damu inakuwa salama ila sio hivyo walivyofanya.
 
Hebu tuongee kwa mapana medical refrigerator na domestic refrigerator zina tofauti gani kwenye ufanyaji kazi? Na kama ulikuwa na medical one ikaharibika utaacha products ziharibike au utazihamishia kwenye domestic?
Medical refrigirator ina temperature control na domestic haina icho kitu so unakua hujui umeweka dam zako ndan mna joto kias gn, na damu ya binadam inatakiw kukaa katk temperature ya 2 to 8 celcius degree
 
Medical refrigirator ina temperature control na domestic haina icho kitu so unakua hujui umeweka dam zako ndan mna joto kias gn, na damu ya binadam inatakiw kukaa katk temperature ya 2 to 8 celcius degree
Ukipima joto la domestic fridge lina-range ngapi hadi ngapi?
 
Cjajua pia domestic halijakua automatic kukufanya uweze kumonitor temp elewa apo mkuu
Na nikiweka temperature monitoring devices ambazo ni electronic na zinauzwa haiwezi kufaa? Hasa kama imeonekana kutunza joto linalotakuwa
 
Na nikiweka temperature monitoring devices ambazo ni electronic na zinauzwa haiwezi kufaa? Hasa kama imeonekana kutunza joto linalotakuwa
Kumonitor na kucontrol ni vitu viwili tofauti, temperature monitoring unaifanya kwa data loggers ambazo ndo hizo electoronic devices au thermometer za kawaida.
Unaweza kumonitor temperature hata kwa fridges za kawaida ambazo ni non controlled fridges.
Ila ukitaka kucontrol jotoridi kwenye friji ambazo sio pharmaceutical lazima utafute thermostat uiinstall hapo kwenye friji kwa ajili ya kuset jotoridi linalotakiwa.
 
Kwani hamna specifications na pia kwani hamna Wataalamu wa vifaa tiba Hadi mkapokea majokofu ya nyanya?
Hii ni changamoto kubwa kwa Hospital nyingi, tena wakati mwingine vifaa vinanunuliwa havina kiwango au haviendani na Technology iliyopo. Shida mwongozo uliopo katika Hospital za serikali, anaehusika na manunuzi ya vifaa tiba ni mfamasia na sio "mtaalamu wa vifaa tiba/Biomedical Engineer" sasa ukiangalia mfamasia hajasomea vifaa tiba.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…