LGE2024 Shinyanga: Kura bandia zadaiwa kukamatwa

LGE2024 Shinyanga: Kura bandia zadaiwa kukamatwa

Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024

Nyendo

JF-Expert Member
Joined
Jun 4, 2017
Posts
1,336
Reaction score
4,731
Screenshot_20241127_134441_X.jpg

Nimefika Kata ya Ndembezi, Manispaa ya Shinyanga. Tumekamata kura fake 41 kutoka kwa msimamizi msaidizi wa kituo cha Ndembezi Shule.

Tumewakabidhi Polisi Kura hizo fake zaidi ya 40 tulizozikamata.

20241127_133753.jpg
20241127_133753 (1).jpg


Pia soma:LIVE - LGE2024 - Special Thread: Matukio ya Rafu za Uchaguzi na Malalamiko kwenye Zoezi zima Uchaguzi Serikali za Mitaa, leo Novemba 27, 2024
 
Back
Top Bottom