luangalila
JF-Expert Member
- Jan 12, 2014
- 6,346
- 6,928
Kule ndo atakutana na milio ya mitutu kabisa bora abaki Shinyanga.Hamia Burundi,kaka[emoji23][emoji23]
Yaani hali kama hiyo niliikuta pia Bahati. Mamlaka husika epusheni wananchi na haya makelele.Yann imekuwa kero kwa baadhi ya wananchi tunao ishi katika huu mji, yaani bodaboda zinatobolewa exoz yaan ni vijana kushindana kupiga vibuyu tu ! ukiaa kidogo maraa PAAAAAAAAAAH!! ukigeuka tu kidogo tena mara PUUU PUU PUUU yaan kiukweli imekuwa ni kero na binafsi nashindwa kuelewa vyombo vyetu vya maamuzi kushindwa kulikemea tabia hii Chafuuu ambayo sasa imekuwa ni sugu haopa Shinyanga.
Na naaamini hata uongozi wa manispaa wanasikia hizi kero za bodaboda ila ni kutokujali tu na kuliona sio jambao la umuhimu.
Umewahi kufiga chuga? Pale ni kiwanda cha hinzo banga jombaa.Yann imekuwa kero kwa baadhi ya wananchi tunao ishi katika huu mji, yaani bodaboda zinatobolewa exoz yaan ni vijana kushindana kupiga vibuyu tu ! ukiaa kidogo maraa PAAAAAAAAAAH!! ukigeuka tu kidogo tena mara PUUU PUU PUUU yaan kiukweli imekuwa ni kero na binafsi nashindwa kuelewa vyombo vyetu vya maamuzi kushindwa kulikemea tabia hii Chafuuu ambayo sasa imekuwa ni sugu haopa Shinyanga.
Na naaamini hata uongozi wa manispaa wanasikia hizi kero za bodaboda ila ni kutokujali tu na kuliona sio jambao la umuhimu.
Kwa kina Ngosha hapoYann imekuwa kero kwa baadhi ya wananchi tunao ishi katika huu mji, yaani bodaboda zinatobolewa exoz yaan ni vijana kushindana kupiga vibuyu tu ! ukiaa kidogo maraa PAAAAAAAAAAH!! ukigeuka tu kidogo tena mara PUUU PUU PUUU yaan kiukweli imekuwa ni kero na binafsi nashindwa kuelewa vyombo vyetu vya maamuzi kushindwa kulikemea tabia hii Chafuuu ambayo sasa imekuwa ni sugu haopa Shinyanga.
Na naaamini hata uongozi wa manispaa wanasikia hizi kero za bodaboda ila ni kutokujali tu na kuliona sio jambao la umuhimu.
Hili jambo limelalamikiwa sana Manyara, Morogoro na sasa ShinyangaYann imekuwa kero kwa baadhi ya wananchi tunao ishi katika huu mji, yaani bodaboda zinatobolewa exoz yaan ni vijana kushindana kupiga vibuyu tu ! ukiaa kidogo maraa PAAAAAAAAAAH!! ukigeuka tu kidogo tena mara PUUU PUU PUUU yaan kiukweli imekuwa ni kero na binafsi nashindwa kuelewa vyombo vyetu vya maamuzi kushindwa kulikemea tabia hii Chafuuu ambayo sasa imekuwa ni sugu haopa Shinyanga.
Na naaamini hata uongozi wa manispaa wanasikia hizi kero za bodaboda ila ni kutokujali tu na kuliona sio jambao la umuhimu.
Hawawazd ninyi lkn mkuuWasukuma kwa ushamba ni nambari moja...
Ushamba kwenye jambo gani?Wasukuma kwa ushamba ni nambari moja...