Tetesi: SHINYANGA: Mke wa Wenje pamoja na rafiki wa Esther Matiko wafika na kugawa shilingi milioni moja kwa kila mjumbe wa Mkutano Mkuu wa Taifa CHADEMA

Kwani rushwa inatolewa risiti?
 
Hata kama mimi ni kamanda wa Shinyanga, siwezi kuiacha milioni 1 ya Abduli.
 
Kwahiyi na wewe unaamini tetesi za mtoa mada , ambaye amejiunga siku ya jumatano 25/12/2024, na toka ajiunge mada zake zote ni kumpigia kampeni Lissu huku akihangaika kumponda Mbowe na timu yake?

Tuache kudanganyana.
Watu humu wana ID zaidi ya mbili kwa hiyo, huyo ni mkongwe
 
Kula machame kulala ikungi.
 
Hata kama ni tetesi hii yako ni takataka kabisa ..
Tunajua kinachoendelea na walianzia bunda,tutadili nao kisawa sawa huyu chawa wa mbowe,alipewa pesa nyingi uchaguzi wa kanda tukala na kwenye boksi la kura tukampiga kipigo cha mbwa koko
 
Mimi nawashangaa hao watoa tuhuma bila ushahidi. Nadhani Tundu Lisu naye hawezi kuamini uzushi huo. La muhimu wagombea wa nafasi za uongozi Chadema ni watu wanaokielewa. Kura tu ndiyo iamue. Sekretarieti ya Chadema muwe macho, hakikisheni UCHAGUZI huu ni wa mfano ili huko mbeleni kusiwe na manun'guniko. Tupa mfano wa kuuiga kutoka Chadema.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…