Tetesi: SHINYANGA: Mke wa Wenje pamoja na rafiki wa Esther Matiko wafika na kugawa shilingi milioni moja kwa kila mjumbe wa Mkutano Mkuu wa Taifa CHADEMA

Tetesi: SHINYANGA: Mke wa Wenje pamoja na rafiki wa Esther Matiko wafika na kugawa shilingi milioni moja kwa kila mjumbe wa Mkutano Mkuu wa Taifa CHADEMA

Sasa kama CHADEMA wanafanya Yale Yale ya CCM Kuna haja yoyote ya kutaka kuitoa CCM madarakani kama mambo ndio haya?

Hawa CHADEMA ni wabaya zaidi hata ya CCM kwenye suala la madaraka,


Nasema Kidumu sana chama Cha Mapinduzi
Kila mtu ashinde mechi zake
 
Ziko pale pale mkuu ukivimbiwa choo kipo karibu sana😆😅😅😅
Hahaha umenifanya nicheke kwa sauti. Acha vituko asee ebu faster pitia hapo kwa mangi uagizie chochote ntapita baadaye kulipa
 
Huwa unajitahidi sana kuinyofoa Chadema. Kubali kuwa Chadema kuna rushwa! Usiisingizie CCM.
CCM ndio jabali la rushwa, takrima, bakshish na kula kwa urefu wa kamba bila kusahau pesa ya kiwi kwa traffic
 
Anaandika kiongozi mwandamizi Mkoa wa Shinyanga.

"Habari za Usikuu wajumbe wa Mkoa wa Shinyanga na Kahama

Ugeni wetu umeingia tayari Ukiongozwa na Kaka yetu Sauti na Dada yetu Gimbi Massaba ambae ni mke wa kaka Wenje,

Tayari leo wamefika Viunga vya Kahama na wameanza Mipango ya Kukutana na wajumbe.

Makubaliano ni yale yale, SAUT na GIMBI wahakikishe wamewakatia 1M ya Kila mjumbe kama mzigo walivyopewa.

Msisahau Kazi yenu wajumbe ni Kula Machame na Kulala Ikungi.

Mungu awabariki sana Mkoa wa Shinyanga na Kahama mmejua kunifurahisha na kuwanyoosha .

Audio Clip zao tutaanza Kuzitoa baada ya Mwaka Mpya.

Good Job Watu wangu wa Nguvu.

Mkoa wa Shinyanga wajumbe wamekula yamini/Kiapo cha Utii Kukilinda chama Chao kwa gharama hata ikibidi ya Uhai wao,

Karibu sana kaka SAUTI ila kua makini sana unaweza Kupoteza ata huo Ujumbe wa kamati Kuu unaogombea ambao sisi
Mkoa wa Shy tuliokua tunakufikilia fikilia,

Dada Gimbi wamekupa kazi ngumu ya Kumuuza Mwamba hutaweza kwani hauziki tena,

Tunakuheshimu na tunajua wewe na SAUT mmeletwa Shinyanga na Kahama kwa kwa sababu wanajua tunawaamini.

Tunaomba kuwahakikishia kazi hii ngumu mmepewa pigeni hela mtembee,

Muhimu sana Fungu letu la 1M ya Kila mjumbe muliache maana ni haki yetu kutoka kwa Abdul

Asanteni sana Mkoa Shinyanga kwa kukihami chama chetu dhidi ya wasaliti hawa"



Mwisho wa kunukuu lakini labda tujikumbushe kidogo maneno ya Muasisi wa Taifa hili aliwahi kusema yafuatayo,

""Lazima tujiuluze Mtanzania wa leo hawezi kuwanunua hivi hivi watanzania wenzake kabla ya yeye kwanza kununuliwa, kama hakununuliwa amezipata wapi huyu?, kama kanunuliwa atalipa nini kwao? Kama kaomba atazirudishaje?, kama amezikopa atazlilipaje? "
Kinachotafutwa ni pesa badala ya kuwalalamikia wenye pesa walaumu waliokufanya ukawa maskini 😁😁👇👇

View: https://x.com/Jambotv_/status/1872967863650435096?t=YGlWVUw7GT6dAg8-KRy0yA&s=19
 
Anaandika kiongozi mwandamizi Mkoa wa Shinyanga.

"Habari za Usikuu wajumbe wa Mkoa wa Shinyanga na Kahama

Ugeni wetu umeingia tayari Ukiongozwa na Kaka yetu Sauti na Dada yetu Gimbi Massaba ambae ni mke wa kaka Wenje,

Tayari leo wamefika Viunga vya Kahama na wameanza Mipango ya Kukutana na wajumbe.

Makubaliano ni yale yale, SAUT na GIMBI wahakikishe wamewakatia 1M ya Kila mjumbe kama mzigo walivyopewa.

Msisahau Kazi yenu wajumbe ni Kula Machame na Kulala Ikungi.

Mungu awabariki sana Mkoa wa Shinyanga na Kahama mmejua kunifurahisha na kuwanyoosha .

Audio Clip zao tutaanza Kuzitoa baada ya Mwaka Mpya.

Good Job Watu wangu wa Nguvu.

Mkoa wa Shinyanga wajumbe wamekula yamini/Kiapo cha Utii Kukilinda chama Chao kwa gharama hata ikibidi ya Uhai wao,

Karibu sana kaka SAUTI ila kua makini sana unaweza Kupoteza ata huo Ujumbe wa kamati Kuu unaogombea ambao sisi
Mkoa wa Shy tuliokua tunakufikilia fikilia,

Dada Gimbi wamekupa kazi ngumu ya Kumuuza Mwamba hutaweza kwani hauziki tena,

Tunakuheshimu na tunajua wewe na SAUT mmeletwa Shinyanga na Kahama kwa kwa sababu wanajua tunawaamini.

Tunaomba kuwahakikishia kazi hii ngumu mmepewa pigeni hela mtembee,

Muhimu sana Fungu letu la 1M ya Kila mjumbe muliache maana ni haki yetu kutoka kwa Abdul

Asanteni sana Mkoa Shinyanga kwa kukihami chama chetu dhidi ya wasaliti hawa"



Mwisho wa kunukuu lakini labda tujikumbushe kidogo maneno ya Muasisi wa Taifa hili aliwahi kusema yafuatayo,

""Lazima tujiuluze Mtanzania wa leo hawezi kuwanunua hivi hivi watanzania wenzake kabla ya yeye kwanza kununuliwa, kama hakununuliwa amezipata wapi huyu?, kama kanunuliwa atalipa nini kwao? Kama kaomba atazirudishaje?, kama amezikopa atazlilipaje? "
Ila Mbowe kabadilika sana
 
Anaandika kiongozi mwandamizi Mkoa wa Shinyanga.

"Habari za Usikuu wajumbe wa Mkoa wa Shinyanga na Kahama

Ugeni wetu umeingia tayari Ukiongozwa na Kaka yetu Sauti na Dada yetu Gimbi Massaba ambae ni mke wa kaka Wenje,

Tayari leo wamefika Viunga vya Kahama na wameanza Mipango ya Kukutana na wajumbe.

Makubaliano ni yale yale, SAUT na GIMBI wahakikishe wamewakatia 1M ya Kila mjumbe kama mzigo walivyopewa.

Msisahau Kazi yenu wajumbe ni Kula Machame na Kulala Ikungi.

Mungu awabariki sana Mkoa wa Shinyanga na Kahama mmejua kunifurahisha na kuwanyoosha .

Audio Clip zao tutaanza Kuzitoa baada ya Mwaka Mpya.

Good Job Watu wangu wa Nguvu.

Mkoa wa Shinyanga wajumbe wamekula yamini/Kiapo cha Utii Kukilinda chama Chao kwa gharama hata ikibidi ya Uhai wao,

Karibu sana kaka SAUTI ila kua makini sana unaweza Kupoteza ata huo Ujumbe wa kamati Kuu unaogombea ambao sisi
Mkoa wa Shy tuliokua tunakufikilia fikilia,

Dada Gimbi wamekupa kazi ngumu ya Kumuuza Mwamba hutaweza kwani hauziki tena,

Tunakuheshimu na tunajua wewe na SAUT mmeletwa Shinyanga na Kahama kwa kwa sababu wanajua tunawaamini.

Tunaomba kuwahakikishia kazi hii ngumu mmepewa pigeni hela mtembee,

Muhimu sana Fungu letu la 1M ya Kila mjumbe muliache maana ni haki yetu kutoka kwa Abdul

Asanteni sana Mkoa Shinyanga kwa kukihami chama chetu dhidi ya wasaliti hawa"



Mwisho wa kunukuu lakini labda tujikumbushe kidogo maneno ya Muasisi wa Taifa hili aliwahi kusema yafuatayo,

""Lazima tujiuluze Mtanzania wa leo hawezi kuwanunua hivi hivi watanzania wenzake kabla ya yeye kwanza kununuliwa, kama hakununuliwa amezipata wapi huyu?, kama kanunuliwa atalipa nini kwao? Kama kaomba atazirudishaje?, kama amezikopa atazlilipaje? "
Nilisha sema CHADEMA mkikubali rushwa ya aina ueyote ndani ya chama ni pesa za CCM
 
Mbowe bila rushwa hawezi kutoboa. Mbowe anajua, Abdul anajua, Wenje anajua, Boni yai anajua, Sugu anajua, Devotha Minja anajua na Kila aliye Kambi ya Mbowe anajua. Acha kujitoa ajili.
Sema kina boni yai ndo vi tetea vyake navyo vinajifunza kupiga mizinga ya asali ndo maana vinajifanya hivyo
 
Ccm na rushwa ni chanda na pete kama mwenye kiti wao kaanza na rushwa kugawa pikipiki hiko na tshirt kabla hata ya uchaguzi unategemea nini labda
ishu sio ccm bali lisu hatakiwi popote kuongoza wanadamu walioumbwa kwa mfano na sura yake, mwenye utu na aliyejawa utashi.
lisu mtukanaji kuna kila sababu ya kumkataa kwa kutumia mfumo wowote ule
 
Back
Top Bottom