Kila mtu ashinde mechi zakeSasa kama CHADEMA wanafanya Yale Yale ya CCM Kuna haja yoyote ya kutaka kuitoa CCM madarakani kama mambo ndio haya?
Hawa CHADEMA ni wabaya zaidi hata ya CCM kwenye suala la madaraka,
Nasema Kidumu sana chama Cha Mapinduzi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kila mtu ashinde mechi zakeSasa kama CHADEMA wanafanya Yale Yale ya CCM Kuna haja yoyote ya kutaka kuitoa CCM madarakani kama mambo ndio haya?
Hawa CHADEMA ni wabaya zaidi hata ya CCM kwenye suala la madaraka,
Nasema Kidumu sana chama Cha Mapinduzi
Hahaha umenifanya nicheke kwa sauti. Acha vituko asee ebu faster pitia hapo kwa mangi uagizie chochote ntapita baadaye kulipaZiko pale pale mkuu ukivimbiwa choo kipo karibu sana😆😅😅😅
Huwa unajitahidi sana kuinyofoa Chadema. Kubali kuwa Chadema kuna rushwa! Usiisingizie CCM.CHADEMA inafanyiwa mambo ya hovyo sana na ccm
CHADEMA wamekubali wenyewe kuvuliwaCHADEMA inafanyiwa mambo ya hovyo sana na ccm
Ya hovyoMambo gani kamanda?
CCM ndio jabali la rushwa, takrima, bakshish na kula kwa urefu wa kamba bila kusahau pesa ya kiwi kwa trafficHuwa unajitahidi sana kuinyofoa Chadema. Kubali kuwa Chadema kuna rushwa! Usiisingizie CCM.
Ni mamluki ndani ya chama waliokubali kushirikiana na shetaniCHADEMA wamekubali wenyewe kuvuliwa
pichu na kufanywa vibaya mbele za watu
Kinachotafutwa ni pesa badala ya kuwalalamikia wenye pesa walaumu waliokufanya ukawa maskini 😁😁👇👇Anaandika kiongozi mwandamizi Mkoa wa Shinyanga.
"Habari za Usikuu wajumbe wa Mkoa wa Shinyanga na Kahama
Ugeni wetu umeingia tayari Ukiongozwa na Kaka yetu Sauti na Dada yetu Gimbi Massaba ambae ni mke wa kaka Wenje,
Tayari leo wamefika Viunga vya Kahama na wameanza Mipango ya Kukutana na wajumbe.
Makubaliano ni yale yale, SAUT na GIMBI wahakikishe wamewakatia 1M ya Kila mjumbe kama mzigo walivyopewa.
Msisahau Kazi yenu wajumbe ni Kula Machame na Kulala Ikungi.
Mungu awabariki sana Mkoa wa Shinyanga na Kahama mmejua kunifurahisha na kuwanyoosha .
Audio Clip zao tutaanza Kuzitoa baada ya Mwaka Mpya.
Good Job Watu wangu wa Nguvu.
Mkoa wa Shinyanga wajumbe wamekula yamini/Kiapo cha Utii Kukilinda chama Chao kwa gharama hata ikibidi ya Uhai wao,
Karibu sana kaka SAUTI ila kua makini sana unaweza Kupoteza ata huo Ujumbe wa kamati Kuu unaogombea ambao sisi
Mkoa wa Shy tuliokua tunakufikilia fikilia,
Dada Gimbi wamekupa kazi ngumu ya Kumuuza Mwamba hutaweza kwani hauziki tena,
Tunakuheshimu na tunajua wewe na SAUT mmeletwa Shinyanga na Kahama kwa kwa sababu wanajua tunawaamini.
Tunaomba kuwahakikishia kazi hii ngumu mmepewa pigeni hela mtembee,
Muhimu sana Fungu letu la 1M ya Kila mjumbe muliache maana ni haki yetu kutoka kwa Abdul
Asanteni sana Mkoa Shinyanga kwa kukihami chama chetu dhidi ya wasaliti hawa"
Mwisho wa kunukuu lakini labda tujikumbushe kidogo maneno ya Muasisi wa Taifa hili aliwahi kusema yafuatayo,
""Lazima tujiuluze Mtanzania wa leo hawezi kuwanunua hivi hivi watanzania wenzake kabla ya yeye kwanza kununuliwa, kama hakununuliwa amezipata wapi huyu?, kama kanunuliwa atalipa nini kwao? Kama kaomba atazirudishaje?, kama amezikopa atazlilipaje? "
Wewe huwa unamuogopa mbwa anayebweka sana?Mbowe angeachana na hii mambo
Imeanza lini kama unaweza kunikumbusha?Mbowe hatoi rushwa system ndiyo inatoa rushwa mkuu
Ngoja tutaona tuHao wajumbe wakituletea tena Mbowe nitawaona magasho kabisa na sitapigia kura teeena chadema!.
Kura yangu kila chaguzi imekuwa ni given tu kwa chadema!.
Ila Mbowe kabadilika sanaAnaandika kiongozi mwandamizi Mkoa wa Shinyanga.
"Habari za Usikuu wajumbe wa Mkoa wa Shinyanga na Kahama
Ugeni wetu umeingia tayari Ukiongozwa na Kaka yetu Sauti na Dada yetu Gimbi Massaba ambae ni mke wa kaka Wenje,
Tayari leo wamefika Viunga vya Kahama na wameanza Mipango ya Kukutana na wajumbe.
Makubaliano ni yale yale, SAUT na GIMBI wahakikishe wamewakatia 1M ya Kila mjumbe kama mzigo walivyopewa.
Msisahau Kazi yenu wajumbe ni Kula Machame na Kulala Ikungi.
Mungu awabariki sana Mkoa wa Shinyanga na Kahama mmejua kunifurahisha na kuwanyoosha .
Audio Clip zao tutaanza Kuzitoa baada ya Mwaka Mpya.
Good Job Watu wangu wa Nguvu.
Mkoa wa Shinyanga wajumbe wamekula yamini/Kiapo cha Utii Kukilinda chama Chao kwa gharama hata ikibidi ya Uhai wao,
Karibu sana kaka SAUTI ila kua makini sana unaweza Kupoteza ata huo Ujumbe wa kamati Kuu unaogombea ambao sisi
Mkoa wa Shy tuliokua tunakufikilia fikilia,
Dada Gimbi wamekupa kazi ngumu ya Kumuuza Mwamba hutaweza kwani hauziki tena,
Tunakuheshimu na tunajua wewe na SAUT mmeletwa Shinyanga na Kahama kwa kwa sababu wanajua tunawaamini.
Tunaomba kuwahakikishia kazi hii ngumu mmepewa pigeni hela mtembee,
Muhimu sana Fungu letu la 1M ya Kila mjumbe muliache maana ni haki yetu kutoka kwa Abdul
Asanteni sana Mkoa Shinyanga kwa kukihami chama chetu dhidi ya wasaliti hawa"
Mwisho wa kunukuu lakini labda tujikumbushe kidogo maneno ya Muasisi wa Taifa hili aliwahi kusema yafuatayo,
""Lazima tujiuluze Mtanzania wa leo hawezi kuwanunua hivi hivi watanzania wenzake kabla ya yeye kwanza kununuliwa, kama hakununuliwa amezipata wapi huyu?, kama kanunuliwa atalipa nini kwao? Kama kaomba atazirudishaje?, kama amezikopa atazlilipaje? "
Ccm na rushwa ni chanda na pete kama mwenye kiti wao kaanza na rushwa kugawa pikipiki hiko na tshirt kabla hata ya uchaguzi unategemea nini labdaCHADEMA inafanyiwa mambo ya hovyo sana na ccm
Nilisha sema CHADEMA mkikubali rushwa ya aina ueyote ndani ya chama ni pesa za CCMAnaandika kiongozi mwandamizi Mkoa wa Shinyanga.
"Habari za Usikuu wajumbe wa Mkoa wa Shinyanga na Kahama
Ugeni wetu umeingia tayari Ukiongozwa na Kaka yetu Sauti na Dada yetu Gimbi Massaba ambae ni mke wa kaka Wenje,
Tayari leo wamefika Viunga vya Kahama na wameanza Mipango ya Kukutana na wajumbe.
Makubaliano ni yale yale, SAUT na GIMBI wahakikishe wamewakatia 1M ya Kila mjumbe kama mzigo walivyopewa.
Msisahau Kazi yenu wajumbe ni Kula Machame na Kulala Ikungi.
Mungu awabariki sana Mkoa wa Shinyanga na Kahama mmejua kunifurahisha na kuwanyoosha .
Audio Clip zao tutaanza Kuzitoa baada ya Mwaka Mpya.
Good Job Watu wangu wa Nguvu.
Mkoa wa Shinyanga wajumbe wamekula yamini/Kiapo cha Utii Kukilinda chama Chao kwa gharama hata ikibidi ya Uhai wao,
Karibu sana kaka SAUTI ila kua makini sana unaweza Kupoteza ata huo Ujumbe wa kamati Kuu unaogombea ambao sisi
Mkoa wa Shy tuliokua tunakufikilia fikilia,
Dada Gimbi wamekupa kazi ngumu ya Kumuuza Mwamba hutaweza kwani hauziki tena,
Tunakuheshimu na tunajua wewe na SAUT mmeletwa Shinyanga na Kahama kwa kwa sababu wanajua tunawaamini.
Tunaomba kuwahakikishia kazi hii ngumu mmepewa pigeni hela mtembee,
Muhimu sana Fungu letu la 1M ya Kila mjumbe muliache maana ni haki yetu kutoka kwa Abdul
Asanteni sana Mkoa Shinyanga kwa kukihami chama chetu dhidi ya wasaliti hawa"
Mwisho wa kunukuu lakini labda tujikumbushe kidogo maneno ya Muasisi wa Taifa hili aliwahi kusema yafuatayo,
""Lazima tujiuluze Mtanzania wa leo hawezi kuwanunua hivi hivi watanzania wenzake kabla ya yeye kwanza kununuliwa, kama hakununuliwa amezipata wapi huyu?, kama kanunuliwa atalipa nini kwao? Kama kaomba atazirudishaje?, kama amezikopa atazlilipaje? "
Subiti moto uingie makalioniIla Mbowe amebadilika sana huyu Mzee Wala hatukutegemea kabisa
Do you buy it?CHADEMA inafanyiwa mambo ya hovyo sana na ccm
Sema kina boni yai ndo vi tetea vyake navyo vinajifunza kupiga mizinga ya asali ndo maana vinajifanya hivyoMbowe bila rushwa hawezi kutoboa. Mbowe anajua, Abdul anajua, Wenje anajua, Boni yai anajua, Sugu anajua, Devotha Minja anajua na Kila aliye Kambi ya Mbowe anajua. Acha kujitoa ajili.
Sahihi kabisa hiiSasa kama CHADEMA wanafanya Yale Yale ya CCM Kuna haja yoyote ya kutaka kuitoa CCM madarakani kama mambo ndio haya?
Hawa CHADEMA ni wabaya zaidi hata ya CCM kwenye suala la madaraka,
Nasema Kidumu sana chama Cha Mapinduzi
ishu sio ccm bali lisu hatakiwi popote kuongoza wanadamu walioumbwa kwa mfano na sura yake, mwenye utu na aliyejawa utashi.Ccm na rushwa ni chanda na pete kama mwenye kiti wao kaanza na rushwa kugawa pikipiki hiko na tshirt kabla hata ya uchaguzi unategemea nini labda
Handsome anampunga meefu hivyoKazi imeenza ,huo ukute ndo ule mpunga wa yule msanii Dullsyks