Tetesi: SHINYANGA: Mke wa Wenje pamoja na rafiki wa Esther Matiko wafika na kugawa shilingi milioni moja kwa kila mjumbe wa Mkutano Mkuu wa Taifa CHADEMA

Tetesi: SHINYANGA: Mke wa Wenje pamoja na rafiki wa Esther Matiko wafika na kugawa shilingi milioni moja kwa kila mjumbe wa Mkutano Mkuu wa Taifa CHADEMA

Sasa kama CHADEMA wanafanya Yale Yale ya CCM Kuna haja yoyote ya kutaka kuitoa CCM madarakani kama mambo ndio haya?

Hawa CHADEMA ni wabaya zaidi hata ya CCM kwenye suala la madaraka,


Nasema Kidumu sana chama Cha Mapinduzi
Ester matiko kaanza mambo ya ccm Ili ule lazima uliwe, Mapesa ya Abdul yataisambaratisha chadema
 
Anaandika kiongozi mwandamizi Mkoa wa Shinyanga.

"Habari za Usikuu wajumbe wa Mkoa wa Shinyanga na Kahama

Ugeni wetu umeingia tayari Ukiongozwa na Kaka yetu Sauti na Dada yetu Gimbi Massaba ambae ni mke wa kaka Wenje,

Tayari leo wamefika Viunga vya Kahama na wameanza Mipango ya Kukutana na wajumbe.

Makubaliano ni yale yale, SAUT na GIMBI wahakikishe wamewakatia 1M ya Kila mjumbe kama mzigo walivyopewa.

Msisahau Kazi yenu wajumbe ni Kula Machame na Kulala Ikungi.

Mungu awabariki sana Mkoa wa Shinyanga na Kahama mmejua kunifurahisha na kuwanyoosha .

Audio Clip zao tutaanza Kuzitoa baada ya Mwaka Mpya.

Good Job Watu wangu wa Nguvu.

Mkoa wa Shinyanga wajumbe wamekula yamini/Kiapo cha Utii Kukilinda chama Chao kwa gharama hata ikibidi ya Uhai wao,

Karibu sana kaka SAUTI ila kua makini sana unaweza Kupoteza ata huo Ujumbe wa kamati Kuu unaogombea ambao sisi
Mkoa wa Shy tuliokua tunakufikilia fikilia,

Dada Gimbi wamekupa kazi ngumu ya Kumuuza Mwamba hutaweza kwani hauziki tena,

Tunakuheshimu na tunajua wewe na SAUT mmeletwa Shinyanga na Kahama kwa kwa sababu wanajua tunawaamini.

Tunaomba kuwahakikishia kazi hii ngumu mmepewa pigeni hela mtembee,

Muhimu sana Fungu letu la 1M ya Kila mjumbe muliache maana ni haki yetu kutoka kwa Abdul

Asanteni sana Mkoa Shinyanga kwa kukihami chama chetu dhidi ya wasaliti hawa"



Mwisho wa kunukuu lakini labda tujikumbushe kidogo maneno ya Muasisi wa Taifa hili aliwahi kusema yafuatayo,

""Lazima tujiuluze Mtanzania wa leo hawezi kuwanunua hivi hivi watanzania wenzake kabla ya yeye kwanza kununuliwa, kama hakununuliwa amezipata wapi huyu?, kama kanunuliwa atalipa nini kwao? Kama kaomba atazirudishaje?, kama amezikopa atazlilipaje? "
Hao ni wakupiga spana hivyo hivyo,na mamluki wao kutoka kwa jirani mbaya.
 
Anaandika kiongozi mwandamizi Mkoa wa Shinyanga.

"Habari za Usikuu wajumbe wa Mkoa wa Shinyanga na Kahama

Ugeni wetu umeingia tayari Ukiongozwa na Kaka yetu Sauti na Dada yetu Gimbi Massaba ambae ni mke wa kaka Wenje,

Tayari leo wamefika Viunga vya Kahama na wameanza Mipango ya Kukutana na wajumbe.

Makubaliano ni yale yale, SAUT na GIMBI wahakikishe wamewakatia 1M ya Kila mjumbe kama mzigo walivyopewa.

Msisahau Kazi yenu wajumbe ni Kula Machame na Kulala Ikungi.

Mungu awabariki sana Mkoa wa Shinyanga na Kahama mmejua kunifurahisha na kuwanyoosha .

Audio Clip zao tutaanza Kuzitoa baada ya Mwaka Mpya.

Good Job Watu wangu wa Nguvu.

Mkoa wa Shinyanga wajumbe wamekula yamini/Kiapo cha Utii Kukilinda chama Chao kwa gharama hata ikibidi ya Uhai wao,

Karibu sana kaka SAUTI ila kua makini sana unaweza Kupoteza ata huo Ujumbe wa kamati Kuu unaogombea ambao sisi
Mkoa wa Shy tuliokua tunakufikilia fikilia,

Dada Gimbi wamekupa kazi ngumu ya Kumuuza Mwamba hutaweza kwani hauziki tena,

Tunakuheshimu na tunajua wewe na SAUT mmeletwa Shinyanga na Kahama kwa kwa sababu wanajua tunawaamini.

Tunaomba kuwahakikishia kazi hii ngumu mmepewa pigeni hela mtembee,

Muhimu sana Fungu letu la 1M ya Kila mjumbe muliache maana ni haki yetu kutoka kwa Abdul

Asanteni sana Mkoa Shinyanga kwa kukihami chama chetu dhidi ya wasaliti hawa"



Mwisho wa kunukuu lakini labda tujikumbushe kidogo maneno ya Muasisi wa Taifa hili aliwahi kusema yafuatayo,

""Lazima tujiuluze Mtanzania wa leo hawezi kuwanunua hivi hivi watanzania wenzake kabla ya yeye kwanza kununuliwa, kama hakununuliwa amezipata wapi huyu?, kama kanunuliwa atalipa nini kwao? Kama kaomba atazirudishaje?, kama amezikopa atazlilipaje? "
Acha joto wajumbe si watu wazuri sana kadri unavyokula hela ndivyo unavyomninginiza mtu Abdul ana kazi kweli kweli
 
Uzuri wa rushwa bwana haina usaliti. Utasema unakula afu utamchagua mwingine ikifika siku ya siku dhamira yako inakuandama.

Cha mtu mavi, ukikubali kua na kubali kuliwa.

Muhimu ni kuzikataa rushwa.. period!!
Haahaa na maisha haya magumu unakataaje rushwa? Cha msingi wale kura kichwani mwao
 
CHADEMA inafanyiwa mambo ya hovyo sana na ccm
chadema ndiyo wajinga namba moja wanakubalije kuingiziwa hela haramu kama wangekuwa waadilifu wasingekubali kwamaana hiyo chadema ni gonjwa baya sana kuwahi kutokea duniani kidumu chama cha mapinduzi
 
Haahaa jifariji, uchaguzi huu safari hii unafuatilia na vyombo vingi Sana, Kila kitu kitawekwa hadharani.Kila mjumbe wa mkutano mkuu ameanza kuwa monitored
Hakuna aliyekataa uchaguzi kufuatiliwa kwa karibu au mbali au matokeo kuwekwa hadharani. Kikubwa ni uchaguzi ufanyike kwa halali na atakayeshinda atangazwe na aliyeshindwa akubali kushindwa.

Ninachokataa ni hawa viberenge vya Lissu ambao kazi yao ni kuleta mada za kutaka Mbowe ajiondoe kwenye uchagazi eti kwa hoja dhaifu (Mpishe Lissu kwani umekaa madarakani muda mrefu) kwa nini Hawesemi Mbowe ampishe Odero kwani na yeye ni mgombea wa nafasi ya uenyekiti pia.
 
Sasa kama CHADEMA wanafanya Yale Yale ya CCM Kuna haja yoyote ya kutaka kuitoa CCM madarakani kama mambo ndio haya?

Hawa CHADEMA ni wabaya zaidi hata ya CCM kwenye suala la madaraka,


Nasema Kidumu sana chama Cha Mapinduzi
Hiyo rushwa ni ya ccm wewe.
Kwani Abdul anayewatuma ni Chadema?!
 
Sasa kama CHADEMA wanafanya Yale Yale ya CCM Kuna haja yoyote ya kutaka kuitoa CCM madarakani kama mambo ndio haya?

Hawa CHADEMA ni wabaya zaidi hata ya CCM kwenye suala la madaraka,


Nasema Kidumu sana chama Cha Mapinduzi
Mkuu wakati mwingine mna vituko sana, hivi kwa akili ya kawaida kabisa unategemea wanachama wote wa CHADEMA zaidi ya milioni wawe na rohoo ya kutopokea au kutoa rushwa?
Kumbuka vitendo vya kutoa na kupokea kunafanywa na binadamu ila vitendo hivyo vinadhibitiwa na sheria na nyenzo .... kama hauna nyezo na sheria hauwezi kuzithibiti unless umezaliwq hivyo.
 
Kila kitakachofanyika kwa sasa kitawekwa wazi, mgombea wetu lissu ni mtu asiyependa Giza na masirisiri.Yeyote atakayetoa rushwa atawekwa hadharani, Rushwa sio utamaduni wa chadema
Dogo una uhakika na ulichoandika au ndio unadhihirisha akili za nyumbu za kuongea kwanza ndio kufikiri kunafuata? Juzi Lissu kasema Kuna mtu ndani ya Kamati Kuu ndio alikuwa na ushahidi wa yeye kutaka kuhongwa na Abdul. Alipoambiwa mtaje, akasema Sasa hivi ni marehemu na HAWEZI kumtaja jina! Ahahahahaha!

Ukiwa na akili timamu unaweza amini mtu kama huyo??
 
Dogo una uhakika na ulichoandika au ndio unadhihirisha akili za nyumbu za kuongea kwanza ndio kufikiri kunafuata? Juzi Lissu kasema Kuna mtu ndani ya Kamati Kuu ndio alikuwa na ushahidi wa yeye kutaka kuhongwa na Abdul. Alipoambiwa mtaje, akasema Sasa hivi ni marehemu na HAWEZI kumtaja jina! Ahahahahaha!

Ukiwa na akili timamu unaweza amini mtu kama huyo??
Mbowe hatoi rushwa system ndiyo inatoa rushwa mkuu
 
Kwahiyi na wewe unaamini tetesi za mtoa mada , ambaye amejiunga siku ya jumatano 25/12/2024, na toka ajiunge mada zake zote ni kumpigia kampeni Lissu huku akihangaika kumponda Mbowe na timu yake?

Tuache kudanganyana.
Hii ni ni mada ya 11, toka ajiunge. Zote ni mlengo mmoja!
 
Back
Top Bottom