Tetesi: SHINYANGA: Mke wa Wenje pamoja na rafiki wa Esther Matiko wafika na kugawa shilingi milioni moja kwa kila mjumbe wa Mkutano Mkuu wa Taifa CHADEMA

Tetesi: SHINYANGA: Mke wa Wenje pamoja na rafiki wa Esther Matiko wafika na kugawa shilingi milioni moja kwa kila mjumbe wa Mkutano Mkuu wa Taifa CHADEMA

Kwani TAKUKURU hawapo?
Halafu kuna member wengine humu wamekuwa ni wa hovyo sana. Mbona hizi taarifa kama ni uongo?
Ushauri kwa watoa taarifa msiwe mnatoa habari za kuwachafua watu.
 
Kwani TAKUKURU hawapo?
Halafu kuna member wengine humu wamekuwa ni wa hovyo sana. Mbona hizi taarifa kama ni uongo?
Ushauri kwa watoa taarifa msiwe mnatoa habari za kuwachafua watu.
Hizi ni habari za kweli kabisa, lakini Kwakuwa hatuwezi KUWEKA humu kila kitu ndio maana tunazibakisha kama tetesi,
 
Hizi ni habari za kweli kabisa, lakini Kwakuwa hatuwezi KUWEKA humu kila kitu ndio maana tunazibakisha kama tetesi,
Zingekuwa zina ukweli wala msingekuwa mnahanhaika na kumwambia Mbowe ajitoe eti alinde heshima yake.

Unadhani Lissu angekuwa ana ushahidi wa madudu ya Mbowe angekaa kimya? Jibu ni hapana
 
Anaandika kiongozi mwandamizi Mkoa wa Shinyanga.

"Habari za Usikuu wajumbe wa Mkoa wa Shinyanga na Kahama

Ugeni wetu umeingia tayari Ukiongozwa na Kaka yetu Sauti na Dada yetu Gimbi Massaba ambae ni mke wa kaka Wenje,

Tayari leo wamefika Viunga vya Kahama na wameanza Mipango ya Kukutana na wajumbe.

Makubaliano ni yale yale, SAUT na GIMBI wahakikishe wamewakatia 1M ya Kila mjumbe kama mzigo walivyopewa.

Msisahau Kazi yenu wajumbe ni Kula Machame na Kulala Ikungi.

Mungu awabariki sana Mkoa wa Shinyanga na Kahama mmejua kunifurahisha na kuwanyoosha .

Audio Clip zao tutaanza Kuzitoa baada ya Mwaka Mpya.

Good Job Watu wangu wa Nguvu.

Mkoa wa Shinyanga wajumbe wamekula yamini/Kiapo cha Utii Kukilinda chama Chao kwa gharama hata ikibidi ya Uhai wao,

Karibu sana kaka SAUTI ila kua makini sana unaweza Kupoteza ata huo Ujumbe wa kamati Kuu unaogombea ambao sisi
Mkoa wa Shy tuliokua tunakufikilia fikilia,

Dada Gimbi wamekupa kazi ngumu ya Kumuuza Mwamba hutaweza kwani hauziki tena,

Tunakuheshimu na tunajua wewe na SAUT mmeletwa Shinyanga na Kahama kwa kwa sababu wanajua tunawaamini.

Tunaomba kuwahakikishia kazi hii ngumu mmepewa pigeni hela mtembee,

Muhimu sana Fungu letu la 1M ya Kila mjumbe muliache maana ni haki yetu kutoka kwa Abdul

Asanteni sana Mkoa Shinyanga kwa kukihami chama chetu dhidi ya wasaliti hawa"



Mwisho wa kunukuu lakini labda tujikumbushe kidogo maneno ya Muasisi wa Taifa hili aliwahi kusema yafuatayo,

""Lazima tujiuluze Mtanzania wa leo hawezi kuwanunua hivi hivi watanzania wenzake kabla ya yeye kwanza kununuliwa, kama hakununuliwa amezipata wapi huyu?, kama kanunuliwa atalipa nini kwao? Kama kaomba atazirudishaje?, kama amezikopa atazlilipaje? "
Kumeanza kukucha, Mapesa ya Abdul yameanza kuhongwa watu .Wenje kanunua gari kwa pesa za Abdul.Rushwa ni adui wa haki
 
Team Lissu na kuropoka kunaendelea. Hadi uchaguzi unaisha wengi wenu mtakuwa wateja wa Milembe!
Kila kitakachofanyika kwa sasa kitawekwa wazi, mgombea wetu lissu ni mtu asiyependa Giza na masirisiri.Yeyote atakayetoa rushwa atawekwa hadharani, Rushwa sio utamaduni wa chadema
 
Zingekuwa zina ukweli wala msingekuwa mnahanhaika na kumwambia Mbowe ajitoe eti alinde heshima yake.

Unadhani Lissu angekuwa ana ushahidi wa madudu ya Mbowe angekaa kimya? Jibu ni hapana
Haahaa jifariji, uchaguzi huu safari hii unafuatilia na vyombo vingi Sana, Kila kitu kitawekwa hadharani.Kila mjumbe wa mkutano mkuu ameanza kuwa monitored
 
Kwani TAKUKURU hawapo?
Halafu kuna member wengine humu wamekuwa ni wa hovyo sana. Mbona hizi taarifa kama ni uongo?
Ushauri kwa watoa taarifa msiwe mnatoa habari za kuwachafua watu.
Sema uwongo huku mabulunguti ya Abdul yakiendelea kutafunwa, mwenzio wenje tayari ana gari la Abdul.
 
Back
Top Bottom