Mbangaizaji wa Taifa
JF-Expert Member
- Dec 25, 2024
- 493
- 844
- Thread starter
- #41
Asante sana MkuuHii kazi mnaifanyia Tanzania na waTanzania wote. Hii siyo kazi ya CHADEMA peke yake.
Heshima kwenu wazalendo.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Asante sana MkuuHii kazi mnaifanyia Tanzania na waTanzania wote. Hii siyo kazi ya CHADEMA peke yake.
Heshima kwenu wazalendo.
Ni hatari sanaCHADEMA inafanyiwa mambo ya hovyo sana na ccm
Kwahiyo unataka nikujibu?Huyu Mbulula kajiunga 25/12/2024 post zako zina muelekeo wa kumponda Mbowe.
Bila shaka umejiunga kwa kazi maalumu.
Hizi ni habari za kweli kabisa, lakini Kwakuwa hatuwezi KUWEKA humu kila kitu ndio maana tunazibakisha kama tetesi,Kwani TAKUKURU hawapo?
Halafu kuna member wengine humu wamekuwa ni wa hovyo sana. Mbona hizi taarifa kama ni uongo?
Ushauri kwa watoa taarifa msiwe mnatoa habari za kuwachafua watu.
Kwanini msitoe Taarifa TAKUKURU?Hizi ni habari za kweli kabisa, lakini Kwakuwa hatuwezi KUWEKA humu kila kitu ndio maana tunazibakisha kama tetesi,
Kwanini msitoe Taarifa TAKUKURU?
Kila kitu kitakuwa wazi kabisa ni swala la muda tuMwaga hiyo audio clip - ya nini kusubilia hadi mwaka mpya?
Sasa si mkatae mambo ya hovyo ya CCM? Kwanini mnakubali kufanyiwa?CHADEMA inafanyiwa mambo ya hovyo sana na ccm
Na wao wamekubali kufanyiwa hivyo. If so basi hawafai kupewa hata serikali ya mtaa.CHADEMA inafanyiwa mambo ya hovyo sana na ccm
Huku wapi?😁Waje na huku
Pengine ndiyo sababu waliambulia chini ya 1% nchi nzima kwenye uchaguzi huo.Na wao wamekubali kufanyiwa hivyo. If so basi hawafai kupewa hata serikali ya mtaa.
Mahawala ya sultan makengeza mbowe tilieni mpewe doze na kitumbua chenu kinaelekea mwisho.Team Lissu na kuropoka kunaendelea. Hadi uchaguzi unaisha wengi wenu mtakuwa wateja wa Milembe!
Zingekuwa zina ukweli wala msingekuwa mnahanhaika na kumwambia Mbowe ajitoe eti alinde heshima yake.Hizi ni habari za kweli kabisa, lakini Kwakuwa hatuwezi KUWEKA humu kila kitu ndio maana tunazibakisha kama tetesi,
Kumeanza kukucha, Mapesa ya Abdul yameanza kuhongwa watu .Wenje kanunua gari kwa pesa za Abdul.Rushwa ni adui wa hakiAnaandika kiongozi mwandamizi Mkoa wa Shinyanga.
"Habari za Usikuu wajumbe wa Mkoa wa Shinyanga na Kahama
Ugeni wetu umeingia tayari Ukiongozwa na Kaka yetu Sauti na Dada yetu Gimbi Massaba ambae ni mke wa kaka Wenje,
Tayari leo wamefika Viunga vya Kahama na wameanza Mipango ya Kukutana na wajumbe.
Makubaliano ni yale yale, SAUT na GIMBI wahakikishe wamewakatia 1M ya Kila mjumbe kama mzigo walivyopewa.
Msisahau Kazi yenu wajumbe ni Kula Machame na Kulala Ikungi.
Mungu awabariki sana Mkoa wa Shinyanga na Kahama mmejua kunifurahisha na kuwanyoosha .
Audio Clip zao tutaanza Kuzitoa baada ya Mwaka Mpya.
Good Job Watu wangu wa Nguvu.
Mkoa wa Shinyanga wajumbe wamekula yamini/Kiapo cha Utii Kukilinda chama Chao kwa gharama hata ikibidi ya Uhai wao,
Karibu sana kaka SAUTI ila kua makini sana unaweza Kupoteza ata huo Ujumbe wa kamati Kuu unaogombea ambao sisi
Mkoa wa Shy tuliokua tunakufikilia fikilia,
Dada Gimbi wamekupa kazi ngumu ya Kumuuza Mwamba hutaweza kwani hauziki tena,
Tunakuheshimu na tunajua wewe na SAUT mmeletwa Shinyanga na Kahama kwa kwa sababu wanajua tunawaamini.
Tunaomba kuwahakikishia kazi hii ngumu mmepewa pigeni hela mtembee,
Muhimu sana Fungu letu la 1M ya Kila mjumbe muliache maana ni haki yetu kutoka kwa Abdul
Asanteni sana Mkoa Shinyanga kwa kukihami chama chetu dhidi ya wasaliti hawa"
Mwisho wa kunukuu lakini labda tujikumbushe kidogo maneno ya Muasisi wa Taifa hili aliwahi kusema yafuatayo,
""Lazima tujiuluze Mtanzania wa leo hawezi kuwanunua hivi hivi watanzania wenzake kabla ya yeye kwanza kununuliwa, kama hakununuliwa amezipata wapi huyu?, kama kanunuliwa atalipa nini kwao? Kama kaomba atazirudishaje?, kama amezikopa atazlilipaje? "
Kila kitakachofanyika kwa sasa kitawekwa wazi, mgombea wetu lissu ni mtu asiyependa Giza na masirisiri.Yeyote atakayetoa rushwa atawekwa hadharani, Rushwa sio utamaduni wa chademaTeam Lissu na kuropoka kunaendelea. Hadi uchaguzi unaisha wengi wenu mtakuwa wateja wa Milembe!
Haahaa jifariji, uchaguzi huu safari hii unafuatilia na vyombo vingi Sana, Kila kitu kitawekwa hadharani.Kila mjumbe wa mkutano mkuu ameanza kuwa monitoredZingekuwa zina ukweli wala msingekuwa mnahanhaika na kumwambia Mbowe ajitoe eti alinde heshima yake.
Unadhani Lissu angekuwa ana ushahidi wa madudu ya Mbowe angekaa kimya? Jibu ni hapana
Sema uwongo huku mabulunguti ya Abdul yakiendelea kutafunwa, mwenzio wenje tayari ana gari la Abdul.Kwani TAKUKURU hawapo?
Halafu kuna member wengine humu wamekuwa ni wa hovyo sana. Mbona hizi taarifa kama ni uongo?
Ushauri kwa watoa taarifa msiwe mnatoa habari za kuwachafua watu.