Shinyanga: Mume amuua Mkewe akimtuhumu kutumia ARV kwa siri

Shinyanga: Mume amuua Mkewe akimtuhumu kutumia ARV kwa siri

Mods kuna watu yanakashfu kabila la wasukuma tuna zaidi ya mwezi tunakashifiwa tu bila hata sababu za msingi! Tunaomba mliangalie hili kwa umakini ikiwezekana wapewe ban ya maisha!
Ukabila ni sumu!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]nakusubiri mlangoni na lesoni yangu hapa!
 
Mods kuna watu yanakashfu kabila la wasukuma tuna zaidi ya mwezi tunakashifiwa tu bila hata sababu za msingi! Tunaomba mliangalie hili kwa umakini ikiwezekana wapewe ban ya maisha!
Ukabila ni sumu!
Mti wenye matunda ndio hupigwa mawe mkuu.
Kila kabila humu hukashifiwa labda awamu hii imekuwa yenu. Si mda mrefu kashfa zitaisha, zitahamia kabila lingine.
 
Hivi kwanini wanaume wanakimbiliaga kuua na kujiua, hivo vifua sijui koromeo haviwezi kusitiri majanga?[emoji848][emoji848]

Nimeanza kuhisi mwanaume ni kiumbe dhaifu kabisa
Tuache kabisa! Mtu anameza ARV kwa siri unadhani ni rahisi kumeza hasa ukijua amekuwa akifanya hivyo kwa siri!
 
Mods kuna watu yanakashfu kabila la wasukuma tuna zaidi ya mwezi tunakashifiwa tu bila hata sababu za msingi! Tunaomba mliangalie hili kwa umakini ikiwezekana wapewe ban ya maisha!
Ukabila ni sumu!
Wasukuma again,sukuma gang
Mods kuna watu yanakashfu kabila la wasukuma tuna zaidi ya mwezi tunakashifiwa tu bila hata sababu za msingi! Tunaomba mliangalie hili kwa umakini ikiwezekana wapewe ban ya maisha!
Ukabila ni sumu!
 
Poleni sana wafiwa.....ukatili huu upigwe vita,wanawake acheni usiri mengi yatawakuta msipojirekebisaha.
 
Back
Top Bottom