Mtili wandu JF-Expert Member Joined Dec 15, 2012 Posts 8,257 Reaction score 11,499 Feb 25, 2022 #21 Saguda47 said: Kwa hiyo ukisoma una ruhusa ya kutofika kazini kwako na kughushi nyaraka? Tumia akili mkuu! Click to expand... Uhuru wa mawazo ukiniambia nitumie akili hizi barabara ninazovuka zoote unanisaidia wewe siyo.
Saguda47 said: Kwa hiyo ukisoma una ruhusa ya kutofika kazini kwako na kughushi nyaraka? Tumia akili mkuu! Click to expand... Uhuru wa mawazo ukiniambia nitumie akili hizi barabara ninazovuka zoote unanisaidia wewe siyo.
Sakasaka Mao JF-Expert Member Joined Sep 29, 2016 Posts 12,826 Reaction score 17,371 Feb 25, 2022 #22 Leo ndiyo nimesikia kuwa Bukene ipo chini ya Mamlaka ya Shinyanga! Kabla yake nilielewa kuwa Bukene ipo chini ya mamlaka ya Mkoa wa Tabora wilaya ya Nzega.
Leo ndiyo nimesikia kuwa Bukene ipo chini ya Mamlaka ya Shinyanga! Kabla yake nilielewa kuwa Bukene ipo chini ya mamlaka ya Mkoa wa Tabora wilaya ya Nzega.