HIMARS
JF-Expert Member
- Jan 23, 2012
- 70,791
- 98,334
Mzazi unatakiwa utafute pesa nyingi uachie wajukuuInasikitisha, halafu wazee nchi hii ni wachache sana,tatizo kuzaa watoto 20 halafu hauwawekei msingi wa kujitegemea.Halafu ni ngumu kulea watoto 20 ,matokeo yake ndo haya.