Shipping Agent gani yuko vizuri kutoa mzigo China - Tanzania kati ya Shamwaa na Silent Ocean?

Shipping Agent gani yuko vizuri kutoa mzigo China - Tanzania kati ya Shamwaa na Silent Ocean?

Wakuu naomba mnifahimishe iv ukiagiza mzgo n silent ocean inachukua mda gan kuupata
 
Habari Boss, pole na majukumu napenda kukupa nafasi ya upendeleo kwako, baada yakuona uhitaji wakutoa mizigo China kuja Tanzania

Ningependa kukupa fursa yakuagiza nakukuletea bidhaa zako Kwa gharama nafuu kutoka china, uturuki kuja Tz dar pia na usafirishaji

Unaeza agiza/kusafirisha nasi hatakama huna pesa kamili sisi tukanunua/kusafirisha Kwa niaba yako nakufikisha mzigo hapa nakuja kuufata kwako ndo ukamilishe malipo..

Tunapatikana mkunguni street kariakoo karibu na kituo cha polisi msimbazi B, mm ni Mr Nelson head of operations FAGO EXPRESS. Karibu sana chief WhatsApp+255765018958
Mna website?
 
Back
Top Bottom