#COVID19 Shirika la Afya Duniani (WHO), laonya kuhusu chanjo ya lazima

#COVID19 Shirika la Afya Duniani (WHO), laonya kuhusu chanjo ya lazima

thetallest

JF-Expert Member
Joined
Oct 21, 2017
Posts
8,271
Reaction score
9,113
Shirika la afya duniani limeonya kuhusu kuchanja watu kwa lazima.

Hii baada ya vurugu kubwa ya waandamanaji kutokea Ubelgjii.

Walikuwa wakiandamana kuelekea makao makuu ya umoja wa ulaya kupinga kulazimishwa kuchanjwa. Pia inasemekana kirusi kipya cha Micron, kilionekana ulaya kwa mara ya kwanza na si Afrika.

Angalizo

Chanjo isilazimishwe, iendelee kuwa ya hiyari, lakini elimu zaidi iendelee kutolewa, ili wananchi wafahamu faida ya kuchanja na hasara zake Kama mtu hatachanja.

MGODI WA DHAHABU WA GEITA GOLD MINE KWANINI UNALAZIMISHA CHANJO YA LAZIMA?

"UCHUNGUZWE"
 
MGODI WA DHAHABU WA GEITA GOLD MINE KWANINI UNALAZIMISHA CHANJO YA LAZIMA?

"UCHUNGUZE ",
Beberu, achunguzwe? Na nani? Ila inawezakana beberu mswahili akamchunguza beberu mweupe😂
 
Hata ufaransa kulikuwa na maandamano, watu wanazuiliwa kuingia sehemu kisa hawajachanja, hapo kunyaland kama kawaida yao ya kuiga kila jambo analofanya beberu nao wameanza kunyanyapaa wasiochanja kwamba hawataruhusiwa kuingia kupata huduma kwenye maofisi.

Hivi binadamu kaumbwa aishi kwa kutegemea chanjo hadi aanze kunyanyapaliwa? ifike sehemu haki za msingi za watu zisikiukwe kwa hofu zisizo na kichwa wala miguu.
 
Kusema ukweli kutoka moyoni mwangu hakuna mtu aliyepo sasa duniani akanishawishi au kunieli misha kuhusu chanjo na nikamwelewa.

MWALIMU WANGU ASHAKUFA BASI,alichonifundisha ndio hichohicho nimebaki nacho. SICHANJI NG'OO
 
Sasa hivi wakati wimbi la nne linatikisa dunia, mtu akitaka kuchanja, anatakiwa achanjwe chanjo ipi?
 
Inavyoonekana watu wanaosimamia ulazima wa kuchanja wana mandate zaidi ya wale wanaopinga, wasiotaka mambo ya chanjo wamekuwa victim wa vita kubwa ya kiroho na kisaikolojia iliyo nyuma ya kampeni ovu ya chanjo ya lazima.
Upo sahihi mkuu
 
Natamani sana watuletee chanjo lazima TZ, mleta mada na wenzako muandamane pia likiamriwa hilo kama wenzenu wa "Ubelegiji".
 
Natamani sana watuletee chanjo lazima TZ, mleta mada na wenzako muandamane pia likiamriwa hilo kama wenzenu wa "Ubelegiji".
Subiri matokeo ya chanjo za kipumbavu mwilini mwako. Kwa koment yako inaonekana umeshachanjwa.. swali jepesi chanjo uliyonayo inakukinga na kirusi kipi! Delta au Omicron?,na kikija kirusi kipya kila mwaka utaendelea kuchoma hizo sumu? Wakati mwingine sio lazima uwe daktari kutumia Logic kwenye mambo ya msingi yanayohusu afya yako.
 
Subiri matokeo ya chanjo za kipumbavu mwilini mwako. Kwa koment yako inaonekana umeshachanjwa.. swali jepesi chanjo uliyonayo inakukinga na kirusi kipi!?.. Delta au Omicron?,na kikija kirusi kipya kila mwaka utaendelea kuchoma hizo sumu?.. Wakati mwingine sio lazima uwe daktari kutumia Logic kwenye mambo ya msingi yanayohusu afya yako.
Nimechanja since April na ninadunda tu, na wakileta nyingine hata 100 nitachanja as long as zimethibitishwa na wataalamu wa Afya, siwezi kuwasikiliza vinjeketile na washirikina kama wewe! Na hapa TZ soon inakuwa hupati huduma muhimu bila chanjo, ikiwemo kutumia usafiri wa umma!! Tunawasubiri muandamane kama "Ubelegiji" ili maji myaite "mma"
 
Nimechanja since April na ninadunda tu, na wakileta nyingine hata 100 nitachanja as long as zimethibitishwa na wataalamu wa Afya, siwezi kuwasikiliza vinjeketile na washirikina kama wewe! Na hapa TZ soon inakuwa hupati huduma muhimu bila chanjo, ikiwemo kutumia usafiri wa umma!! Tunawasubiri muandamane kama "Ubelegiji" ili maji myaite "mma"
Sumpiro mkubwa wee! You seem to be a pumpkin of no commercial value!
 
Sumpiro mkubwa wee! You seem to be a pumpkin of no commercial value!
Acha ukinjeketile tahira wewe, mwezi ujao chanjo lazima jinga wewe, na tukuone unaandamana tukuvunje kalio hilo ukose mume
 
Acha ukinjeketile tahira wewe, mwezi ujao chanjo lazima jinga wewe, na tukuone unaandamana tukuvunje kalio hilo ukose mume
Na wewe kumbe ni MPUMBAVU kama wazungu. Hao wazungu wakitaka kufanikiwa labda walete wazungu wenzao Africa nzima kusimamia chanjo. Tunachofanya wajanja tunalipa kupata cheti kinachoonyesha tayari tumechanjwa na hiyo sumu inayohusu hicho cheti inamwagwa chini. Tunafanya hivi ili tuweze kusafiri tuonekane mafala Kama wewe boya uliyechanjwa hizo sumu kweli. Nimeshawalamba vichwa watu kibao kwa kuwaunganisha na manesi tena wengine ni viongozi. Nyie mbuzi wa kafara/majaribio endeleeni na huo ufala wenu. This is Africa my friend, wake up.
 
Na wewe kumbe ni MPUMBAVU kama wazungu. Hao wazungu wakitaka kufanikiwa labda walete wazungu wenzao Africa nzima kusimamia chanjo. Tunachofanya wajanja tunalipa kupata cheti kinachoonyesha tayari tumechanjwa na hiyo sumu inayohusu hicho cheti inamwagwa chini. Tunafanya hivi ili tuweze kusafiri tuonekane mafala Kama wewe boya uliyechanjwa hizo sumu kweli. Nimeshawalamba vichwa watu kibao kwa kuwaunganisha na manesi tena wengine ni viongozi. Nyie mbuzi wa kafara/majaribio endeleeni na huo ufala wenu. This is Africa my friend, wake up.
Unaona ujanja kufanya wizi, utapeli na ujambazi? Kweli alivyo Baba mwana naye yupo hivyo hivyo, and lipumbavu kama wewe unalikuta humu jf linapiga kelele mafisadi mafisadi, wakati wewe mwenyewe ni tapeli, danganyifu, jizi na jinga numero one
 
Unaona ujanja kufanya wizi, utapeli na ujambazi? Kweli alivyo Baba mwana naye yupo hivyo hivyo, and lipumbavu kama wewe unalikuta humu jf linapiga kelele mafisadi mafisadi, wakati wewe mwenyewe ni tapeli, danganyifu, jizi na jinga numero one
Mkuu nakuhakikishia kwenye swala la kudungwa hizi sumu za COVID kwa watu wetu tutatumia namna yoyote na nakuhakikishia hii ni Africa nzima. Wazungu wanajionaga wajanja kumbe mafala tu kama wewe, hatuchanjwi na vyeti tutakuwa navyo na tutasafiri Kama kawa, haya ninayokwambia hata serikali inayajua na inayabariki. Mafala wachache ndo mtachanjwa hizo sumu.
 
Mkuu nakuhakikishia kwenye swala la kudungwa hizi sumu za COVID kwa watu wetu tutatumia namna yoyote na nakuhakikishia hii ni Africa nzima. Wazungu wanajionaga wajanja kumbe mafala tu kama wewe, hatuchanjwi na vyeti tutakuwa navyo na tutasafiri Kama kawa, haya ninayokwambia hata serikali inayajua na inayabariki. Mafala wachache ndo mtachanjwa hizo sumu.
Hujui lolote kuhusu utaratibu wa kupata chanjo na cheti uliowekwa na Covax kwa kushirikiana na serikali ulivyo, kifupi haiwezekani kufanya hayo unayosema, utawadanganya wajinga wenzako, ni mpuuzi tu unaongea ongea hapa! BTW mimi sipo huko kwenye hayo maujinga ujinga yenu yaliyokuwepo, nchi ilipochukuliwa tu na MJINGA MWENZAKO nikasepa zangu, ila kwa sasa nitarudi sababu nchi inaongozwa na mtu SMART
 
Back
Top Bottom