beth
JF-Expert Member
- Aug 19, 2012
- 3,880
- 6,368
Shirika la Afya Duniani (WHO) limesema mlipuko wa CoronaVirus unaweza kusababisha vifo kwa Waafrika wapatao 190,000 ndani ya mwaka mmoja tangu uanze kama ukishindwa kudhibitiwa
Mkurugenzi wa WHO Afrika, Dkt. Matshidiso Moeti amesema kuna uwezekano COVID19 haitosambaa kwa kasi barani humo kama ilivyokuwa kwa mataifa mengine duniani
Mkurugenzi huyo amezitaka Serikali kuweka mikakati ya kupima CoronaVirus, kutafuta waliokuwa karibu na wagonjwa, kuwekwa walio na maambukizi karantini na vilevile kuwatibia
Awali WHO ilitabiri Waaafrika Milioni 29 hadi 44 wanaweza kupata COVID19 kwa mwaka mmoja na watu Milioni 5.5 wanaweza kuhitaji tiba Hospitali, idadi ambayo ni kubwa kuliko uwezo wa sekta za afya katika nchi nyingi
========
The novel coronavirus could kill as many as 190,000 people in Africa during the first year of the pandemic if containment measures fail, the World Health Organization warned on Thursday.
A survey done in March of health services in Africa found an average of nine intensive care unit beds per 1 million people in 47 African countries.
“These would be woefully inadequate,” the WHO said.
Source: CNN
Mkurugenzi wa WHO Afrika, Dkt. Matshidiso Moeti amesema kuna uwezekano COVID19 haitosambaa kwa kasi barani humo kama ilivyokuwa kwa mataifa mengine duniani
Mkurugenzi huyo amezitaka Serikali kuweka mikakati ya kupima CoronaVirus, kutafuta waliokuwa karibu na wagonjwa, kuwekwa walio na maambukizi karantini na vilevile kuwatibia
Awali WHO ilitabiri Waaafrika Milioni 29 hadi 44 wanaweza kupata COVID19 kwa mwaka mmoja na watu Milioni 5.5 wanaweza kuhitaji tiba Hospitali, idadi ambayo ni kubwa kuliko uwezo wa sekta za afya katika nchi nyingi
========
The novel coronavirus could kill as many as 190,000 people in Africa during the first year of the pandemic if containment measures fail, the World Health Organization warned on Thursday.
The WHO predicted that between 29 million to 44 million Africans could be infected in the first year. As many as 5.5 million of these people could require hospital treatment, a number that would overwhelm the medical capacity of most places on the continent.“While Covid-19 likely won’t spread as exponentially in Africa as it has elsewhere in the world, it likely will smoulder in transmission hotspots,” Dr. Matshidiso Moeti, the WHO Regional Director for Africa, said in a statement.
“Covid-19 could become a fixture in our lives for the next several years unless a proactive approach is taken by many governments in the region. We need to test, trace, isolate and treat.”
A survey done in March of health services in Africa found an average of nine intensive care unit beds per 1 million people in 47 African countries.
“These would be woefully inadequate,” the WHO said.
Source: CNN