Mdau alikujibu kwa dhana uliyosema bima fake zimekuwa nyingi. Hakuna Bima feki inayoweza kusoma kwenye mfumo wa TIRA. Makosa ya kawaida yanayofanyika katika Bima ni Under cutting hasa kwa magari ya Biashara, na Mwenyejukum la kufuatilia hilo ni TIRA na sio NIC maana hata wao Wanafanya makosa kama hayo.
Hata mim nimeshuhudia sana NIC wakiingia barabaran na Maofisa wa Polis kwa lengo la kukagua watu wasio na Bima kuwakatia papo kwa papo, Kwa upande wangu naona halina afya kabisaa maana inaondoa Fair Competition katika soko la bima. La Sivyo uruhusiwe kwa kila Kampuni kufanya hivyo.