Shirika la Bima la Taifa kuingia barabarani kukagua bima za vyombo vya moto imekaaje?

Dah, pole mkuu.. ila next day waulize uhalali wa wao kukagua Insurance na hayo mamlaka wametoa wap?
Ukileta ujuaji polisi atakushtaki kuendesha gari ambayo haijakatiwa bima πŸ˜ƒ
 
Heyyouyoungman Umenena vyema mkuuπŸ‘
 
Nimevusha kama miezi mitatu hivi nkalipe bima sasa na naona sasa jamaa washaanza kuweka matochi yao barabarani grace period ishaisha.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…