Shirika la Fedha Duniani (IMF) laidhinisha fedha kwa ajili ya Kenya na Uganda kusaidia kupambana na makali ya uchumi

Shirika la Fedha Duniani (IMF) laidhinisha fedha kwa ajili ya Kenya na Uganda kusaidia kupambana na makali ya uchumi

Kumbe loan, nilizani grant. Ndio aliokataa Magufuli.

Sent using Jamii Forums mobile app by My phone

Eti nabakia Africa.
Hii nchi inaendeshwa kwa mikopo, wewe unasema alikataa mkopo jeuri hiyo ya kukataa anaitoa wapi.
Magufuli alitoa mapendekezo tu, wakiamua wayakubali au wayakatae lkn jeuri ya kukata mkopo hana.
Tena bora upate bahati ya kukopeshwa na IMF au WB kuliko kuliko nchi au institutions nyingine
 
Kwa nini mnaripoti kama ni MSAADA wakati ni MKOPO? Huoni kwamba ni mzigo wanaongezewa endapo hizo pesa hazitatumika kwa manufaa wa Taifa na watu wao?
 
Uzi mzima ..90% hawana uelewa...10% wana akili...

Siku zote ngoz nyeus huwa inaamin wao ni wa kusaidiwa tuu...ndo hapo mkoloni alipotuweza...yaan mtu unalaumu kwann hukupewa pesa..tena sio kupewa ..kukopeshwa kwa mgongo wa matatzo
 
Ni Sawa na mtu kaenda zake bank kuchukua pesa ya mkopo, halafu akafurahia Sana baada ya kuzipata, na mitaani atajionyesha kuwa yeye ni matawi ya juu bhana!! ngoja siku ya marejesho ifike atanuna utadhani bank ilimlazimisha kuchukua mkopo, ndicho kinachofanyika Kwa nchi zetu hizi!

Kuna watakaojitapa na kuzinanga Baadhi ya nchi Kwa sababu ziligomea masharti ya watoa mikopo, kuzilockdown nchi zao ili zipate mikopo

Kenya na Uganda zinafurahia kupata mchumba ambaye ni lazima arudi Kwa mwenyewe
 
Kumbe loan, nilizani grant. Ndio aliokataa Magufuli.

Sent using Jamii Forums mobile app by My phone

Eti nabakia Africa.
Toka lini IMF wakatoa grants?

Siku zote world bank and IMF wanatoa Loan, maana ni taasisi za pesa zenye kufanya kazi zake kibenki zikipata faida kupitia riba. Tofauti ya hizi taasisi (IMF na World bank) na benki zingine za kibiashara iko kwenye riba na masharti. IMF na World bank wanakukopesha kwa riba nafuu na utalipa taratibu kwa muda mrefu lakini masharti yao ni mazito.

Wanaweza kukusamehe sehemu fulani ya deni wakiona huwezi kulilipa kwa wakati ili waweze kukukopesha tena.

Magufuli anajua kabisa kwa sasa hawezi kukopesheka kirahisi maana ana madeni makubwa, mwenendo wa kulipa unasusua na masharti ya kuweza kukopesheka hayawezi kuyatimiza ipasavyo.
 
Kwa nini?


Kwani wamepewa bure au wamekopeshwa?
Kina siku mnasema serikari inakopa deni linakuwa kubwa, leo mnazitaka tena hizo za mikopo, nyie ni mazombi nini?
mimi nimesema mkakate miti pori mjifukize, usinilishe maneno Comrade.
 
Sisi tulitegwa kuanzia pale walipoanza kupewa za kupambana na corona na hapa pia tumetegwa, ila sio mbaya wakati mwingine kumuondoa mtoto nyumbani ajitegemee huwa ni vizuri zaidi maana kuna mfanya mtoto ajue jinsi ya kuendesha maisha yake vizuri.

Sent using Jamii Forums mobile app
usijidanganye hii nchi haijawahi jiongoza kwa pesa zake mkopo lazima

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom