Shirika la Fedha Duniani (IMF) laidhinisha fedha kwa ajili ya Kenya na Uganda kusaidia kupambana na makali ya uchumi

They know exactly how to manipulate you with loans.

Refa IMF, kocha WHO, mdhamini wa timu China na Marekani.

Huku chini ninyi mangumbaru wa Africa mnachezeshwa tu ligi za mchangani!
 
Naona IMF wanatoa vitita kwa nchi za Kenya na Uganda, Mahususi kwa ajili ya janga la Corona.

Mbona sisi jamuhuri ya muungano wa Tanzania hatupewi?



Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sasa sisi kila wakati tunawaita makaburu, mabeberu na nini sijui !!.

Uongozi wa ki communist hautufikishi popote. Ni majigambo yasiyo ya msingi.

Odhis *
 
Mtapewaje na haijulikani wangapi wanaumwa, wamepona au wamekufa? Mkuu baada ya kuona kazi ya maambukizi na vifo akapiga stop. Sasa hivi ukifa au kupona au kuugua ni wewe na Mungu wako
 
Siyo mikopo huyo ni msaada hazirudishwi mkopo una riba na lazima uzirudishe sisi hatujaonesha jitihada zote zote zilizonesha kuwa tumepatwa na janga
Hauko makini aisee, msaada? Anyway msaada wa kukopeshwa uko sahihi, lkn sio bure.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mzungu atakupa pesa kizembe? Unamjua Mzungu vizuri.

pujo
 
Na sisi manunda tunapewa lini?

Sent using Jamii Forums mobile app
Sisi Tanzania hatuhitaji mkopo! Hill Rais wetu aliliweka wazi. Kumbukeni huu siyo msaada, ni mkopo wenye riba . Ni mzigo wa deni juu ya mizigo ya madeni! Sisi tulisema kama kuna nchi au taasisi ya fedha inataka kutusaidia basi itusamehe baadhi ya madeni, au iahirishe kudai marejesho bila kuongezeka riba. Vinginevyo tutapambàna wenyewe!! Mungu yupo!!
 
Mkuu It is a
Loan and not grant,soma tena ili uelewe,huu sio msaada,hata sisi kama nchi tukitaka kukopa tunapewa ila jembe letu JPM kakataa kukopa maana uzalishaji umeshuka anachowata hawa wa world bank wasitishe kwanza marejesho ya mikopo wanayotudai ili pesa hii itumike kupambana na athari za covid na sio kukopa wakati hakuna uzalishaji kwa sasa
Na sisi manunda tunapewa lini?

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu It is a
Loan(mkopo) and not grants,soma tena ili uelewe,huu sio msaada,hata sisi kama nchi tukitaka kukopa tunapewa ila jembe letu JPM kakataa kukopa maana uzalishaji umeshuka anachowata hawa wa world bank wasitishe kwanza marejesho ya mikopo wanayotudai ili pesa hii itumike kupambana na athari za covid na sio kukopa wakati hakuna uzalishaji kwa sasa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…