Shirika la Mawasiliano Tanzania TTCL limekabidhiwa umiliki, usimamizi, uendeshaji na uendelezaji wa Mkongo wa Taifa wa Mawasiliano pamoja na Kituo cha

Shirika la Mawasiliano Tanzania TTCL limekabidhiwa umiliki, usimamizi, uendeshaji na uendelezaji wa Mkongo wa Taifa wa Mawasiliano pamoja na Kituo cha

Ojuolegbha

JF-Expert Member
Joined
Sep 6, 2020
Posts
1,278
Reaction score
797
Shirika la Mawasiliano Tanzania TTCL limekabidhiwa umiliki, usimamizi, uendeshaji na uendelezaji wa Mkongo wa Taifa wa Mawasiliano pamoja na Kituo cha Taifa cha Kutunza taarifa chenye thamani ya zaidi ya Bilioni 450.

Pia, TTCL imekabidhiwa miundombinu ya Consortium kama sehemu ya Mkongo wa Taifa. Hatua hizo zimebadilisha mizania ya mahesabu kutoka kwenye hasara kwenda kwenye faida.

Aidha, Shirika limefanikiwa kuwa na watumiaji 1,657,843 wa huduma za mawasiliano na hivyo kuwa na umiliki wa asilimia 2 ya soko la huduma za mawasiliano ya simu za mkononi na asilimia 100 ya umiliki wa watumiaji wa simu zilizosimikwa mahali pamoja (fixed internet subscribers).

Pakua Samia App kupitia Play Store au App Store.

#samiaapp
#kaziiendelee
#tumejipatanamama
 

Attachments

  • VID-20250222-WA0007.mp4
    19.3 MB
Shirika la Mawasiliano Tanzania TTCL limekabidhiwa umiliki, usimamizi, uendeshaji na uendelezaji wa Mkongo wa Taifa wa Mawasiliano pamoja na Kituo cha Taifa cha Kutunza taarifa chenye thamani ya zaidi ya Bilioni 450.

Pia, TTCL imekabidhiwa miundombinu ya Consortium kama sehemu ya Mkongo wa Taifa. Hatua hizo zimebadilisha mizania ya mahesabu kutoka kwenye hasara kwenda kwenye faida.

Aidha, Shirika limefanikiwa kuwa na watumiaji 1,657,843 wa huduma za mawasiliano na hivyo kuwa na umiliki wa asilimia 2 ya soko la huduma za mawasiliano ya simu za mkononi na asilimia 100 ya umiliki wa watumiaji wa simu zilizosimikwa mahali pamoja (fixed internet subscribers).

Pakua Samia App kupitia Play Store au App Store.

#samiaapp
#kaziiendelee
#tumejipatanamama
Hamuoni aibu?
 
Ajirini watu wa Marketing, hawajui potential waliyonayo!
 
Kitu ambacho serikali ya Tanzania inatakiwa kubakiza kwenye umiliki wake ni bandari, njia ya reli na miundombinu yake (biashara ya usafirishaji aina ulazima), miundombinu ya umeme na usambazaji (uzalishaji kwenda mbele itafute watu binafsi bila hata ya PPP), mkono wa mawasiliano (wątoa huduma wawe wengine).

Biashara zote zilizobaki ni kubinafsisha tu kwa masharti ya target performances wakishindwa serikali inachukua tena bila ya kulipa fidia.
 
Kitu ambacho serikali ya Tanzania inatakiwa kubakiza kwenye umiliki wake ni bandari, njia ya reli na miundombinu yake (biashara ya usafirishaji aina ulazima), miundombinu ya umeme na usambazaji (uzalishaji kwenda mbele itafute watu binafsi bila hata ya PPP), mkono wa mawasiliano (wątoa huduma wawe wengine).

Biashara zote zilizobaki ni kubinafsisha tu kwa masharti ya target performances wakishindwa serikali inachukua tena bila ya kulipa fidia.
Vyote hivyo wabinafishe hawezi kusimamia maana wezi tupu
 
Back
Top Bottom