mbere
JF-Expert Member
- Mar 5, 2015
- 6,967
- 6,465
Wandugu,
Nilimaliza chuo mwaka 2012 baada tu ya kumaliza chuo nilikuwa na Akiba yangu ya 2ml. Nikaamua kufanya biashara ya simu.
Miaka miwili baadaye nikafanikiwa kuwa na mtaji, nikaamua kukopa benki Kwa kutumia hati ya Miami.
Ule mkopo nikaamua kwenda kufungashia Dubai, Kwa msaada wa Rafiki yangu fulani nikafanikiwa kwenda na kurudi salama.
Sasa Wakati wa kurudi pale Dubai Kwenye ukaguzi nikapita bila Kufika mlangoni nikakuta Wahudumu wakasema tusiingie na mizigo ndani, sikubisha mim na wengine tukakabidhi mizigo.
Sasa safari ikaanza, Kufika Bongo mizigo haipo Kwenye mkanda, wakasema umebaki Dubai. Wakasema utakuja na ndege inayofuata.
Wandugu hadi leo tangu tarehe 29/3/2014 nilipata mwanasheria kila siku ni maneno hakuna mizigo nimebaki na vijikaratasi.
Napambana kulipa mkono hadi leo Sina msaada.
Kama Kuna anayeweza kunisaidia please wapendwa nimerudi nyuma Sana, nimevunjwa ndoto Zangu, mzigo ulikuwa memori card ELFU 10,nyingi Zilikuwa na oda milioni zaidi ya 50 zimepotelea mikononi mwa kampuni hii kubwa ya ndege.
Nilimaliza chuo mwaka 2012 baada tu ya kumaliza chuo nilikuwa na Akiba yangu ya 2ml. Nikaamua kufanya biashara ya simu.
Miaka miwili baadaye nikafanikiwa kuwa na mtaji, nikaamua kukopa benki Kwa kutumia hati ya Miami.
Ule mkopo nikaamua kwenda kufungashia Dubai, Kwa msaada wa Rafiki yangu fulani nikafanikiwa kwenda na kurudi salama.
Sasa Wakati wa kurudi pale Dubai Kwenye ukaguzi nikapita bila Kufika mlangoni nikakuta Wahudumu wakasema tusiingie na mizigo ndani, sikubisha mim na wengine tukakabidhi mizigo.
Sasa safari ikaanza, Kufika Bongo mizigo haipo Kwenye mkanda, wakasema umebaki Dubai. Wakasema utakuja na ndege inayofuata.
Wandugu hadi leo tangu tarehe 29/3/2014 nilipata mwanasheria kila siku ni maneno hakuna mizigo nimebaki na vijikaratasi.
Napambana kulipa mkono hadi leo Sina msaada.
Kama Kuna anayeweza kunisaidia please wapendwa nimerudi nyuma Sana, nimevunjwa ndoto Zangu, mzigo ulikuwa memori card ELFU 10,nyingi Zilikuwa na oda milioni zaidi ya 50 zimepotelea mikononi mwa kampuni hii kubwa ya ndege.