Shirika la Ndege la Kenya lasimamisha safari zake za kwenda Libreville na Cotonou

Shirika la Ndege la Kenya lasimamisha safari zake za kwenda Libreville na Cotonou

Influenza

JF-Expert Member
Joined
Jul 1, 2018
Posts
1,509
Reaction score
3,756
Shirika la Ndege la Kenya (Kenya Airways) limetangaza kusimamisha safari zake za kwenda Libreville, Gabon na Cotonou, Benin kuanzia Oktoba 14, 2019

Afisa Biashara Mkuu wa Shirika hilo amesema “Tumefanya utaratibu maalumu wa kuendelea kuhudumia Wateja waliokuwa wamekata tiketi baada ya Oktoba 14 kusafiri kuelekea maeneo hayo, kuhakikisha wanasafiri kupitia mashirika mengine yenye uhusiano na Kenya Airways.”

Shirika limeeleza kuwa uamuzi huo unaenda sambamba na mpango wake wa kuunganisha mtandao wake Ulimwenguni na kuhakikisha linahudumia wateja wake vizuri zaidi huku likiendelea kuzoea uhitaji wa kibiashara unaobadilika mara kwa mara

Siku chache zilizopita, Shirika hilo lilimpa likizo ya lazima Afisa Mkuu wa Fedha, Hellen Mathuka katika mwendelezo wa kuimarisha Kitengo hicho kinachopata wakati mgumu kutengamaa kutokana na hasara inayopatikana kwa miaka kadhaa

Aidha, Shirika hilo lenye madeni na linalopata hasara tangu mwaka 2014 huku likimilikiwa kwa 48.9% na Serikali na 7.8% na Shirika la ndege la Ufaransa-KLM, limetangwa kuwa litataifishwa ili kukabiliana na hali hiyo

2353EC12-BCB7-4774-BEAB-0EBAE01279BF.jpeg

********

Kenya Airways said Thursday it will be suspending its flights to Libreville in Gabon and Cotonou in Benin, effective on Oct. 14 as part of cost-cutting measures to enhance efficiency.

Ursula Silling, Kenya Airways chief commercial officer, said passengers traveling to the two destinations, beyond this date, will be rerouted or rebooked through its partner airlines.

“We have made the necessary arrangements to continue serving our customers who had made forward bookings through our existing cooperation with partner airlines to ensure no disruption to their travel,” said Silling in a statement issued in Nairobi.

He said the decision to suspend flights to Libreville and Cotonou is in line with the airline’s strategy to align its network worldwide.

Silling said the national carrier will continue to optimize its network in order to serve its customers better while adapting to the constantly changing market demand.

The move comes barely two months after the airline launched flights to Rome, Italy, and Geneva, Switzerland, in addition to the direct flights to the U.S.
 
Tunaanza kuhesabu routes
1)Lebravile
2)Benin
Next please......

..angalau wao wamesema ukweli ni kwa nini wanakatisha safari kwenye hizo routes. Sio shirika moja lililokatisha safari zake kwenda nchi fulani kwa sababu ya xenophobia wakati mashirika mengine yote yanaendelea kwenda.
 
..angalau wao wamesema ukweli ni kwa nini wanakatisha safari kwenye hizo routes. Sio shirika moja lililokatisha safari zake kwenda nchi fulani kwa sababu ya xenophobia wakati mashirika mengine yote yanaendelea kwenda.
Tofautisha kati ya kusimamisha na kuicha kabisa hiyo route. Kenya wametoka kabisa katika hizo route, wanatafuta mashirika mengine ili wawakabidhi hizo routes, Tanzanian tunasubiri kidogo ili biashara ikae vizuri ili tusipate hasara.

Ni wazi kwamba baada ya machafuko huko South Africa idadi ya abiria ilipungua sana, sasa ulitaka tuendelee kuchoma mafuta tupate hasara kama KQ?
 
Tofautisha kati ya kusimamisha na kuicha kabisa hiyo route. Kenya wametoka kabisa katika hizo route, wanatafuta mashirika mengine ili wawakabidhi hizo routes, Tanzanian tunasubiri kidogo ili biashara ikae vizuri ili tusipate hasara.
Ni wazi kwamba baada ya machafuko huko South Africa idadi ya abiria ilipungua sana, sasa ulitaka tuendelee kuchoma mafuta tupate hasara kama KQ?
Chadema huyo, eti hawa ndo tuwape nchi!!
 
Tofautisha kati ya kusimamisha na kuicha kabisa hiyo route. Kenya wametoka kabisa katika hizo route, wanatafuta mashirika mengine ili wawakabidhi hizo routes, Tanzanian tunasubiri kidogo ili biashara ikae vizuri ili tusipate hasara.

Ni wazi kwamba baada ya machafuko huko South Africa idadi ya abiria ilipungua sana, sasa ulitaka tuendelee kuchoma mafuta tupate hasara kama KQ?

Kwa akili yako inakutuma kuamini kuwa KQ hawawezi kurudi kwenye hizo routes milele? Na hayo machafuko yanaathiri shirika moja tu? And btw; ni lini na route gani iliyotoa faida kwa hilo shirika lililolazimika kusitisha safari za kwenda kwenye nchi yenye machafuko?
 
Kwa akili yako inakutuma kuamini kuwa KQ hawawezi kurudi kwenye hizo routes milele? Na hayo machafuko yanaathiri shirika moja tu? And btw; ni lini na route gani iliyotoa faida kwa hilo shirika lililolazimika kusitisha safari za kwenda kwenye nchi yenye machafuko?
1)Sharti kubwa na kumuachia routes shirika lingine ni kwamba hutorudi chini ya miaka 10

2)Katika biashara kila mmoja anaathirika tofauti, sio lazima wote wapate hasara au faida. Kama bado hujatengeneza mtandao wa kupata abiria, ni rahisi kuathirika kuliko mwenye mtandao mpana, ATCL ipo katika hatua za mwanzo za kujenga mitandao.

KQ ililazimika kusimamisha route ya USA kutokana na kukosa abiria, wakati Ethiopia Airway inaendelea na route hiyo kwasababu ET ina mtandao mkubwa. Umeelewa?
 
1)Sharti kubwa na kumuachia routes shirika lingine ni kwamba hutorudi chini ya miaka 10

2)Katika biashara kila mmoja anaathirika tofauti, sio lazima wote wapate hasara au faida. Kama bado hujatengeneza mtandao wa kupata abiria, ni rahisi kuathirika kuliko mwenye mtandao mpana, ATCL ipo katika hatua za mwanzo za kujenga mitandao.

KQ ililazimika kusimamisha route ya USA kutokana na kukosa abiria, wakati Ethiopia Airway inaendelea na route hiyo kwasababu ET ina mtandao mkubwa. Umeelewa?

You are improving. Rudi kajifunze maana ya code/route sharing. Halafu rudi hapa maybe tutaelimishana kitu ambacho so far huelekei kukielewa.
 
Leta evidence Kq ilisimamisha wacha kudanganya watu with your nonsensical points
1)Sharti kubwa na kumuachia routes shirika lingine ni kwamba hutorudi chini ya miaka 10

2)Katika biashara kila mmoja anaathirika tofauti, sio lazima wote wapate hasara au faida. Kama bado hujatengeneza mtandao wa kupata abiria, ni rahisi kuathirika kuliko mwenye mtandao mpana, ATCL ipo katika hatua za mwanzo za kujenga mitandao.

KQ ililazimika kusimamisha route ya USA kutokana na kukosa abiria, wakati Ethiopia Airway inaendelea na route hiyo kwasababu ET ina mtandao mkubwa. Umeelewa?
 
Back
Top Bottom