Shirika la Ndege la Tanzania (ATCL) linatarajia kuanza safari za kwenda Afrika Kusini

Shirika la Ndege la Tanzania (ATCL) linatarajia kuanza safari za kwenda Afrika Kusini

Papaa Muu

JF-Expert Member
Joined
Nov 6, 2018
Posts
243
Reaction score
292
Shirika la Ndege la Tanzania (ATCL) linatarajia kuanza safari za kwenda Afrika Kusini, ambapo safari ya kwanza kweda Johannesburg itakuwa Julai 2019. Hii itakuwa safari ya tano ya kimataifa kuzinduliwa na ATCL ndani ya miaka 3, baada ya Harare, Lusaka, Entebbe na Bujumbura.
1074762
SHIUR
 
Na serikali isiwabugudhi wasafiri, to unnecessarily demand travel permits, acha watu wasafiri, watoe matongotongo
 
Shirika la Ndege la Tanzania (ATCL) linatarajia kuanza safari za kwenda Afrika Kusini, ambapo safari ya kwanza kweda Johannesburg itakuwa Julai 2019. Hii itakuwa safari ya tano ya kimataifa kuzinduliwa na ATCL ndani ya miaka 3, baada ya Harare, Lusaka, Entebbe na Bujumbura.
View attachment 1074762SHIUR
Issue sio wingi wa safari ata 100 zifike tu ila ziwe nafaida....wangekua wangeonyesha mafanikio ya safari za mwanzo kabla ya kuongeza zingine

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom