Shirika la Ndege la
Tanzania (ATCL) linatarajia kuanza safari za kwenda Afrika Kusini, ambapo safari ya kwanza kweda Johannesburg itakuwa Julai 2019. Hii itakuwa safari ya tano ya kimataifa kuzinduliwa na ATCL ndani ya miaka 3, baada ya Harare, Lusaka, Entebbe na Bujumbura.
View attachment 1074762SHIUR