Shirika la ndege lipi lina nauli nafuu zaidi kutoka Dar Es Salaam kwenda New York,Boston au Washington DC

Cheki Oman air hutajuta,bei kama route ya kwenda Mwanza,ila sina uhakika kama wanaenda US,kwa Europe ndio mkombozi wa wanyonge.
 
Trick nzuri kupata cheap ticket to anywhere... Visit sites pick your flight details (Dep and des) angalia the cheapest ticket then nenda kwenye official website ya hilo shirika, kadiri unavyoplan na ku'book' mapema ndivyo bei inakuwa affordable..
 
Sijui umemaanisha nini uliposema ''moja kwa moja'' lakini nakukumbusha kuwa hakuna ndege inayoondoka Dar To USA moja kwa moja. Pili unaposema ni shirika lipi lenye bei nafuu sidhani kama kuna jubu la moja kwa moja. Mimi nitakuambia inategemea. Leo unaweza kukuta tiketi ya wiki ijayo ya KLM iko cheap zaidi ya Emirates na keshokutwa ukakuta vise versa. Mimi ni msafiri mkongwe wa ndege na kitu nachoweza kukuambia ni kuwa ukishaamua safari yako ni siku fulani basi ingia kwenye kila website ya shirika husika uangalia bei. Huachajiwi chochote kwa ku-kusearch nauli. Kingine jaribu kutumia ''search engine'' ya kusafiri kwa ndege. Hii hukuletea nauli ya kila shirika na wewe unaamua utanunua tiketi gani. Ziko search engine nyingi kama Momondo nk. Kwa mfano jaribu kuingia hapa https://www.momondo.fi/ u-search utaona ninachomaanisha. Jambo jingine la kuzingatia ni kuwa usiangalia tu urahisi wa bei bila kuzingatia conditions za tiketi. Kuna tiketi nyingine ukiugua siku ya safari na ukashindwa kusafiri basi imekula kwako. Nyingine unakuta wanakuruhusu kubadisha tarehe ya safari. Na nyingine unakuta gharama ya kubadilisha ni kama kununua tiketi mpya. Haya yote ni ya kuzingatia.
 

Ongezea nyama kidogo NI msimu gani Kuna abiria wengi na msimu gani Kuna abiria wachache na Ni Kwanini?
 
Aiseee chalii yangu Bangladesh airlines, Haiti Airways na Central Africa Republic Airways
 
Nenda na etihad mkuu hutojuta, ila lazima utue abudhabi, usisahau jacket ama sweta, airport kuna baridi la kufa mtu, unaweza kuganda, mm nlipachukulia jangwani nikaka 5 hrs nlitamani kulia
 
Mpwa u

Mpwa umeadimika sana nakuona kwenye thread ya betting tu!!


MPWAAAA NIPOO SI UNAONAAA UTEUZII BILA PHD IKABIDI NIENDELEE KISOGO KIDOGO LABDA KAUPEPO CHA BAANA MKUBWA KATANIKUTAA WAZIMA WOTE
 
MPWAAAA NIPOO SI UNAONAAA UTEUZII BILA PHD IKABIDI NIENDELEE KISOGO KIDOGO LABDA KAUPEPO CHA BAANA MKUBWA KATANIKUTAA WAZIMA WOTE
Code:
Bold
Poa Mpwa Mimi Sasa Hivi huko Fb Nina a/c special ya kusifia ili nikumbukwe.
 

The cheapest route is Dar to LA carlifonia and then fly from LA to NY, DC... that can cost you about $1200 kabisa..the best budget flight for me is Qatary.......
 
Kila nikiangalia passport yangu ilivyo.nzuri natamani kusafiri mbaaali.
Kabla ya mwaka huu kuisha lazima nivuke continent😁
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…