Tangazo limeletwa kijinga mno halijitoshelezi. Watu wao wa marketing sifuri kabisaNdio vituo vya nini ivyo, au vya kupigia kura 2025
Uzinduzi uendane na kasi ya huduma wanazotoa.📍 Taarifa📍
Katibu Mkuu wizara ya Mawasiliano na Teknolojia ya Habari @wizaraMTH Dkt. Zainab Chaula anawakaribisha kwenye uzinduzi wa vituo vya HUDUMA PAMOJA(ONE STOP CENTER) Utakaofanyika jijini Dar es salaam tarehe 06/09/2021 saa 5:30 Asubuhi kwenye viwanja vya @posta_tz
View attachment 1921713
View attachment 1921714
...Kabisa... Maelezo mengi bado yanahitajika hapo. Kwa ufupi havielewekiTangazo limeletwa kijinga mno halijitoshelezi. Watu wao wa marketing sifuri kabisa
Stop center ya nini? Tangazo ujinga mtupu haliewekiNawapongeza na kuwatakia kila la kheri Posta kwa uzinduzi wa VITUO VYA SIMA MOJA (One Stop Centres) unaotegemea kufanyika.
Hudhuria kwenye uzinduzi upate kuelewa tafadhali.Stop center ya nini? Tangazo ujinga mtupu halieweki
Watu tuna parcel zetu toka ng'ambo tracking no zinaonyesha zimeingia nchini tokea wiki iliyopita ila ukienda kuulizia posta hamna kitu afu wanatuletea huu upuuzi wao.Hudhuria kwenye uzinduzi upate kuelewa tafadhali.