Iselamagazi
JF-Expert Member
- Sep 26, 2011
- 6,020
- 6,161
Kila kitu kimepangwa na nani?Mambo yanaendelea kama kawaida na hakuna kilichosimama mana hakuna kitu kinachotokea kwa bahati mbaya, kila kitu kimepangwa kuwa hvy
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kila kitu kimepangwa na nani?Mambo yanaendelea kama kawaida na hakuna kilichosimama mana hakuna kitu kinachotokea kwa bahati mbaya, kila kitu kimepangwa kuwa hvy
Sasa jiulize inakuaje watu wanajua mtu flani atasafiri siku flan kwa gari fulani au atakuwa sehemu fulani wakati fulani.Kila kitu kimepangwa na nani?
Niliwahi kuandika Watanzania hatuwezi kuendesha chochote.
Kweli kabisaNiliwahi kuandika Watanzania hatuwezi kuendesha chochote.
Tu wajinga sana.
Msikilize katika interview ya jana pale itvMasanja Kungu Kadogosa Bado Tu Yupo Ofisini, Aambiwe Ajiuzuru/Afutwe Kazi
Mdogomdogo safari ya kwenda kufa Kwa mradi imeanza mwisho wa siku watasitisha huduma na kumpa mwekezaji
Gazeti la lini mheshimiwa? Mbona limetisha hivyo?Nikweli mkuu, hadi nchi imesimama
Siyo kweli mkuu, hii ni sababu ya kutunga tu.Hii ni excuse ya kitoto,kama wanajua kumi kupishana kwa nini wasipange ratiba vizuri?.. kupishana watu wamesubiri kwa saa nne na zaidi!!
Treni ya Mwendokasi inayofanya safari zake Dar es salaam - Dodoma, ilisimama kwa saa kadhaa maeneo ya Ngerengere usiku wa kuamkia leo September 10,2024 na baadhi abiria wakajirekodi video wakionesha kuwa wamesimama katika eneo hilo.
Shirika la Reli Tanzania (TRC) limeomba radhi kwa abiria kutokana na kuchelewa kwa safari kulikosababishwa na changamoto zilizo nje ya uwezo wao ambapo wamesema sababu ya kusimama huko ni pamoja na kusubiri kupishana na treni iliyokuwa ikitoka Dar es salaam kuelekea Morogoro.
Mkuu wa Kitengo cha Uhusiano-TRC, Jamila Mbarouk ameiambia kuwa “Baadae changamoto zilitatuliwa na huduma za usafirishaji ziliendelea kutolewa TRC inaomba radhi kwa changamoto zinazojitokeza na inaahidi kuendelee kuzifanyia kazi”
Pia soma:
HiliGazeti la lini mheshimiwa? Mbona limetisha hivyo?
Treni ya Mwendokasi inayofanya safari zake Dar es salaam - DodomaTreni ya Mwendokasi inayofanya safari zake Dar es salaam - Dodoma, ilisimama kwa saa kadhaa maeneo ya Ngerengere usiku wa kuamkia leo September 10,2024 na baadhi abiria wakajirekodi video wakionesha kuwa wamesimama katika eneo hilo.
Shirika la Reli Tanzania (TRC) limeomba radhi kwa abiria kutokana na kuchelewa kwa safari kulikosababishwa na changamoto zilizo nje ya uwezo wao ambapo wamesema sababu ya kusimama huko ni pamoja na kusubiri kupishana na treni iliyokuwa ikitoka Dar es salaam kuelekea Morogoro.
Mkuu wa Kitengo cha Uhusiano-TRC, Jamila Mbarouk ameiambia kuwa “Baadae changamoto zilitatuliwa na huduma za usafirishaji ziliendelea kutolewa TRC inaomba radhi kwa changamoto zinazojitokeza na inaahidi kuendelee kuzifanyia kazi”
Pia soma:
Baba na mama watanzania walidanganyana kilabuni ukazaliwa wewe leo unadanganywa na kila mtu na unawasifu!Huu ni uungwana