Shirika hili linakiuka kwa kiasi kikubwa mikataba na makubaliano walioafikiana na wateja wao hasa ihusuyo malipo ya fedha za bima zilizoiva.
Jambo hili si zuri na halikubalikiki hata kidogo maana linatengeneza taswira ya ulaghai kwa wateja wenu ukizingatia hili ni shirika la umma.
Mamlaka zinazohusika tunaomba mlitizame jambo hili kwa mapana yake.
Ujanja ujanja si uungwana.
Jambo hili si zuri na halikubalikiki hata kidogo maana linatengeneza taswira ya ulaghai kwa wateja wenu ukizingatia hili ni shirika la umma.
Mamlaka zinazohusika tunaomba mlitizame jambo hili kwa mapana yake.
Ujanja ujanja si uungwana.