Shirika la TATEDO ni Mkombozi mwingine Tanzania

Shirika la TATEDO ni Mkombozi mwingine Tanzania

Rich Dad

JF-Expert Member
Joined
Dec 15, 2010
Posts
748
Reaction score
135
Kwa wajasiriamali wenzangu salaam!
Kama ilivyoada ya kupashana habari, nimeona niwajulishe kuhusu hili shirika la Tatedo kwenye nishati mbadala.
Wanatengeneza majiko nafuu ambayo ni msaada kwa sehemu za vijijini.
Sifahamu kama wana teknolojia nyingine kama ilivyo SIDO. Nimeona kipindi chao kimerushwa na TBC1 leo jioni tarehe 13 August 2011.
 
Back
Top Bottom