Sahv wa huku wa hukuChadema wamekosa busara.walichafanya leo kuwafukuza tbc kitakuja kuwagharimu.
Mumeifungia clouse kwa kutangaza matokeo lkn nashangaa magazeti ya Uhuru jamvi habari hayaja fungiwa na Jana ndio habari yao kuu ktk magazeti kupita bila kupingwaChadema wamejiharibia. Hakutakuwa na chombo cho chote cha habari kitakachorusha wala kuandika kampeni zao. Watabakia twiter, instagram na yutube pekee ambako wateja wake hawazidi laki moja. Itabidi mgombea wao atembelee kila kijiji. Pesa ya kufanya hivyo hawana. Ile yakutoka kwa mabeberu itataifishwa.
WAKWENDREEEEEEEEE........
Shirika la Utangazaji Tanzania (TBC) Limesikitishwa na kitendo uongozi wa CHADEMA kuwakemea na kuwafukuza watangazaji wake katika mkutano wao wa kuzindua Kampeni za Mgombea wao wa Urais katika viwanja vya Zakheim, Mbagala Jijini Dar es Salaam, jioni hii.
TBC1 na TBC Taifa kama chaneli za umma zilikuwa zinarusha matangazo ya moja kwa moja kwenye uzinduzi huo kwa mujibu wa sheria na miongozo ya Tume ya Taifa ya Uchaguzi.
Hata hivyo, kwa mujibu wa mwongozo wa Tume wa mwaka 2020, (kifungu e na j), kanuni za maadili ya tasnia ya habari; vyombo vya utangazaji vya umma pia vinao wajibu wa kuhakikisha maudhui yanayorushwa hewani yanazingatia maadili ya taaluma na ya jamii.
Kitendo cha uongozi wa CHADEMA kutangaza kuwafukuza watangazaji wa TBC si cha kiungwana na kinahatarisha usalama wa watendaji hao na vifaa vyao.
Pamoja na kwamba TBC inapanga kutoa taarifa rasmi Polisi na kwenye Tume ya Taifa ya Uchaguzi, kwa sasa inasitisha rasmi kurusha matangazo ya CHADEMA hadi hapo watendaji wake watakapohakikishiwa usalama.
TBC inapenda kutimiza wajibu wake wa kisheria na imekuwa tayari, siku zote, kufanya kazi na vyama vyote vya siasa bila ubaguzi.
Walishazitangaza lini?TBC wametumia akili ndogo Tu, kuwanasa Chadema Kwa mtego wa panya, watu wenye akili zao na wakakubali kuingia Choo cha kike na TBC ikatimiza kusudi lake leo
Ni Sawa tu na Tundu Lisu alipotaka kwenda kuchukua Gari lake kituo cha police Kule Dodoma, police wasingetumia akiri kubwa, wangeingia mtego wa Lisu, na leo Wao Chadema wameingia mtego wa Vyombo vya habari, wimbo utakuwa si mlitufukuza, hatuandiki habari zenu Wala kuzitangaza, kumbe nyuma ya pazia ndio agenda yao
Sehemu iliyojaa masikini ndio ngome ya ccm siku zote , nani atashangaa !🔴 Alert
CHADEMA hakikisheni kesho Lissu hashiki simu yake siku nzima. Asije akaona Umati wa Magufuli, Viwanja vya Jamhuri Dodoma, akaanza kuleta story za kujitoa kwenye Uchaguzi. Hakuna mtu kujitoa uchaguzi huu, kesho kazi inaanza. Karibuni Jamhuri
Hooovyo in Lissu voice
Shirika la Utangazaji Tanzania (TBC) Limesikitishwa na kitendo uongozi wa CHADEMA kuwakemea na kuwafukuza watangazaji wake katika mkutano wao wa kuzindua Kampeni za Mgombea wao wa Urais katika viwanja vya Zakheim, Mbagala Jijini Dar es Salaam, jioni hii.
TBC1 na TBC Taifa kama chaneli za umma zilikuwa zinarusha matangazo ya moja kwa moja kwenye uzinduzi huo kwa mujibu wa sheria na miongozo ya Tume ya Taifa ya Uchaguzi.
Hata hivyo, kwa mujibu wa mwongozo wa Tume wa mwaka 2020, (kifungu e na j), kanuni za maadili ya tasnia ya habari; vyombo vya utangazaji vya umma pia vinao wajibu wa kuhakikisha maudhui yanayorushwa hewani yanazingatia maadili ya taaluma na ya jamii.
Kitendo cha uongozi wa CHADEMA kutangaza kuwafukuza watangazaji wa TBC si cha kiungwana na kinahatarisha usalama wa watendaji hao na vifaa vyao.
Pamoja na kwamba TBC inapanga kutoa taarifa rasmi Polisi na kwenye Tume ya Taifa ya Uchaguzi, kwa sasa inasitisha rasmi kurusha matangazo ya CHADEMA hadi hapo watendaji wake watakapohakikishiwa usalama.
TBC inapenda kutimiza wajibu wake wa kisheria na imekuwa tayari, siku zote, kufanya kazi na vyama vyote vya siasa bila ubaguzi.
Nakupa 😍💥Chadema walitegwa, wamenasa
narudia tena , baada ya Lissu kutwaa nchi TBC itafutwa na majengo yake yatatumiwa na shule za awaliUtetezi wa TBC hauna mashiko,hata wakati crew wa TBC wanafungasha vyombo vyao inasemekana walisikika wakiulalamikia uongozi wao ambao waliwapa maagizo kinyume na maadili ya kazi zao kitu ambacho kingeweza wasababishia madhara