Uchaguzi 2020 Shirika la Utangazaji Tanzania (TBC) limesikitishwa na kitendo uongozi wa CHADEMA kuwakemea na kuwafukuza watangazaji wake

Uchaguzi 2020 Shirika la Utangazaji Tanzania (TBC) limesikitishwa na kitendo uongozi wa CHADEMA kuwakemea na kuwafukuza watangazaji wake

Baadaye mamurere nao wasiachwe tena wapewe dk kumi tu fukuzia mbali tupa kabisa kuleeee
 
🔴 Alert

CHADEMA hakikisheni kesho Lissu hashiki simu yake siku nzima. Asije akaona Umati wa Magufuli, Viwanja vya Jamhuri Dodoma, akaanza kuleta story za kujitoa kwenye Uchaguzi. Hakuna mtu kujitoa uchaguzi huu, kesho kazi inaanza. Karibuni Jamhuri
 
Chadema wamejiharibia. Hakutakuwa na chombo cho chote cha habari kitakachorusha wala kuandika kampeni zao. Watabakia twiter, instagram na yutube pekee ambako wateja wake hawazidi laki moja. Itabidi mgombea wao atembelee kila kijiji. Pesa ya kufanya hivyo hawana. Ile yakutoka kwa mabeberu itataifishwa.
Mumeifungia clouse kwa kutangaza matokeo lkn nashangaa magazeti ya Uhuru jamvi habari hayaja fungiwa na Jana ndio habari yao kuu ktk magazeti kupita bila kupingwa
 


Shirika la Utangazaji Tanzania (TBC) Limesikitishwa na kitendo uongozi wa CHADEMA kuwakemea na kuwafukuza watangazaji wake katika mkutano wao wa kuzindua Kampeni za Mgombea wao wa Urais katika viwanja vya Zakheim, Mbagala Jijini Dar es Salaam, jioni hii.

TBC1 na TBC Taifa kama chaneli za umma zilikuwa zinarusha matangazo ya moja kwa moja kwenye uzinduzi huo kwa mujibu wa sheria na miongozo ya Tume ya Taifa ya Uchaguzi.

Hata hivyo, kwa mujibu wa mwongozo wa Tume wa mwaka 2020, (kifungu e na j), kanuni za maadili ya tasnia ya habari; vyombo vya utangazaji vya umma pia vinao wajibu wa kuhakikisha maudhui yanayorushwa hewani yanazingatia maadili ya taaluma na ya jamii.

Kitendo cha uongozi wa CHADEMA kutangaza kuwafukuza watangazaji wa TBC si cha kiungwana na kinahatarisha usalama wa watendaji hao na vifaa vyao.

Pamoja na kwamba TBC inapanga kutoa taarifa rasmi Polisi na kwenye Tume ya Taifa ya Uchaguzi, kwa sasa inasitisha rasmi kurusha matangazo ya CHADEMA hadi hapo watendaji wake watakapohakikishiwa usalama.

TBC inapenda kutimiza wajibu wake wa kisheria na imekuwa tayari, siku zote, kufanya kazi na vyama vyote vya siasa bila ubaguzi.
WAKWENDREEEEEEEEE........
HAWANA MAANA HATA KIDOGO HAO TBCCM
 
TBC wametumia akili ndogo Tu, kuwanasa Chadema Kwa mtego wa panya, watu wenye akili zao na wakakubali kuingia Choo cha kike na TBC ikatimiza kusudi lake leo

Ni Sawa tu na Tundu Lisu alipotaka kwenda kuchukua Gari lake kituo cha police Kule Dodoma, police wasingetumia akiri kubwa, wangeingia mtego wa Lisu, na leo Wao Chadema wameingia mtego wa Vyombo vya habari, wimbo utakuwa si mlitufukuza, hatuandiki habari zenu Wala kuzitangaza, kumbe nyuma ya pazia ndio agenda yao
Walishazitangaza lini?
 
Utetezi wa TBC hauna mashiko,hata wakati crew wa TBC wanafungasha vyombo vyao inasemekana walisikika wakiulalamikia uongozi wao ambao waliwapa maagizo kinyume na maadili ya kazi zao kitu ambacho kingeweza wasababishia madhara
 
🔴 Alert

CHADEMA hakikisheni kesho Lissu hashiki simu yake siku nzima. Asije akaona Umati wa Magufuli, Viwanja vya Jamhuri Dodoma, akaanza kuleta story za kujitoa kwenye Uchaguzi. Hakuna mtu kujitoa uchaguzi huu, kesho kazi inaanza. Karibuni Jamhuri
Sehemu iliyojaa masikini ndio ngome ya ccm siku zote , nani atashangaa !
 


Shirika la Utangazaji Tanzania (TBC) Limesikitishwa na kitendo uongozi wa CHADEMA kuwakemea na kuwafukuza watangazaji wake katika mkutano wao wa kuzindua Kampeni za Mgombea wao wa Urais katika viwanja vya Zakheim, Mbagala Jijini Dar es Salaam, jioni hii.

TBC1 na TBC Taifa kama chaneli za umma zilikuwa zinarusha matangazo ya moja kwa moja kwenye uzinduzi huo kwa mujibu wa sheria na miongozo ya Tume ya Taifa ya Uchaguzi.

Hata hivyo, kwa mujibu wa mwongozo wa Tume wa mwaka 2020, (kifungu e na j), kanuni za maadili ya tasnia ya habari; vyombo vya utangazaji vya umma pia vinao wajibu wa kuhakikisha maudhui yanayorushwa hewani yanazingatia maadili ya taaluma na ya jamii.

Kitendo cha uongozi wa CHADEMA kutangaza kuwafukuza watangazaji wa TBC si cha kiungwana na kinahatarisha usalama wa watendaji hao na vifaa vyao.

Pamoja na kwamba TBC inapanga kutoa taarifa rasmi Polisi na kwenye Tume ya Taifa ya Uchaguzi, kwa sasa inasitisha rasmi kurusha matangazo ya CHADEMA hadi hapo watendaji wake watakapohakikishiwa usalama.

TBC inapenda kutimiza wajibu wake wa kisheria na imekuwa tayari, siku zote, kufanya kazi na vyama vyote vya siasa bila ubaguzi.

Hooovyo in Lissu voice
5 yrs ya mapambio leo ndio wameona inafaa kurusha khabar za wengine?
 
Utetezi wa TBC hauna mashiko,hata wakati crew wa TBC wanafungasha vyombo vyao inasemekana walisikika wakiulalamikia uongozi wao ambao waliwapa maagizo kinyume na maadili ya kazi zao kitu ambacho kingeweza wasababishia madhara
narudia tena , baada ya Lissu kutwaa nchi TBC itafutwa na majengo yake yatatumiwa na shule za awali
 
Back
Top Bottom