Abul Aaliyah
JF-Expert Member
- Nov 8, 2016
- 7,718
- 5,899
Taratbu tutaelewana tu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hao ni sawa na chui aliye jifunika ngozi ya kondoo hasa kwa upande wa cdm.Shirika la Utangazaji Tanzania (TBC) Limesikitishwa na kitendo uongozi wa CHADEMA kuwakemea na kuwafukuza watangazaji wake katika mkutano wao wa kuzindua Kampeni za Mgombea wao wa Urais katika viwanja vya Zakheim, Mbagala Jijini Dar es Salaam, jioni hii...
Wanafiki ndiyo dawa yao[emoji1787][emoji1787][emoji1787]mwanamme mmoja akawakurupusha team zima, dakika kumi na tano wakafungasha, Mbowe is bae[emoji8][emoji8]
@pakawa upo vizuri sana mkuuWaendelee kusikitishwa tu
Wananchi walipokuwa wanasikitishwa na kugeuza chombo cha umma kuwa mali ya watu fulani mbona hawakusema!
Tutaelewana mbele
Wapumbavu Sana TBCccm..wamezima matangazo ya moja kwa moja wakawa wanapiga storyShirika la Utangazaji Tanzania (TBC) Limesikitishwa na kitendo uongozi wa CHADEMA kuwakemea na kuwafukuza watangazaji wake katika mkutano wao wa kuzindua Kampeni za Mgombea wao wa Urais katika viwanja vya Zakheim, Mbagala Jijini Dar es Salaam, jioni hii...
Jino kwa jino kama walizoea kutufanya mapopoma safari hii wasahau au wajipange kabla ya kuhitimisha unafiki wao.Weka jiwe niweke chuma-Juma Nature
Mapuuzi sana yalikuwa yanawachora tu chademaa...Yameniudhi ghafla
Ni kufumua mfumo wote..na kuanza from the scratch.Nawaza kwa mbali,
Ivi ndio CHADEMA wametinga IKULU KIMASIHARA TBC itaendelea kufanya kazi kama miaka yote?
Tayari tushaanza kuongea lugha moja na kama kucheka tutacheka pamoja na kama kulia tutalia pamoja.Hahahahahahaha Leo na Tbc wanalalamika
Kumbe tutaongea tu lugha moja.
Haikuwa bahati mbaya mkuuSasa wao walikua wakikata mitambo mara kwa mara kwa sababu gani?