Haaaha aione;
#Lyioba..shenzi zao tbc
Tangu lini TBC ikawa inarusha mikutano ya Chadema huu ni unafiki wa kiwango cha SGRPimbi mkubwa wee..wao ndo wameyakanyaga
Shirika la Utangazaji Tanzania (TBC) Limesikitishwa na kitendo uongozi wa CHADEMA kuwakemea na kuwafukuza watangazaji wake katika mkutano wao wa kuzindua Kampeni za Mgombea wao wa Urais katika viwanja vya Zakheim, Mbagala Jijini Dar es Salaam, jioni hii.
TBC1 na TBC Taifa kama chaneli za umma zilikuwa zinarusha matangazo ya moja kwa moja kwenye uzinduzi huo kwa mujibu wa sheria na miongozo ya Tume ya Taifa ya Uchaguzi.
Hata hivyo, kwa mujibu wa mwongozo wa Tume wa mwaka 2020, (kifungu e na j), kanuni za maadili ya tasnia ya habari; vyombo vya utangazaji vya umma pia vinao wajibu wa kuhakikisha maudhui yanayorushwa hewani yanazingatia maadili ya taaluma na ya jamii.
Kitendo cha uongozi wa CHADEMA kutangaza kuwafukuza watangazaji wa TBC si cha kiungwana na kinahatarisha usalama wa watendaji hao na vifaa vyao.
Pamoja na kwamba TBC inapanga kutoa taarifa rasmi Polisi na kwenye Tume ya Taifa ya Uchaguzi, kwa sasa inasitisha rasmi kurusha matangazo ya CHADEMA hadi hapo watendaji wake watakapohakikishiwa usalama.
TBC inapenda kutimiza wajibu wake wa kisheria na imekuwa tayari, siku zote, kufanya kazi na vyama vyote vya siasa bila ubaguzi.
Kumbe Mbowe ni ummaWakuu nawasalimu heshima iwe juu yenu,
Baada ya nguvu ya umma kuitimua tbc leo viwanja vya zakhiem kutokana na kuonyesha matangazo ya mkutano wa CHADEMA kwa hila kwa kukatisha masuala ya msingi kwa taifa ambayo wanahisi watawala hawayapendi kuyasikia,shirika hilo la utangazi la taifa limesema litaenda polisi kuishtaki chadema na kushitaki kwa Nec
Changamoto za Watanzania si madaraja tu, Ni pamoja na usawa kwa jamii yote ya watanzania.TBC imekua haitoi nafasi kwa vyama vya upinzani, wakati hiki chombo ni chombo cha umma, Kinafanya kazi kwa kutumia kodi za watanzania hivyo hakina usawa linapokuja suala la matangazo.We endelea kujiongopea hivi unafahamu bila ya hayo madaraja safari ya nusu 30 saa huku kijiji inaweza kuchukua masaa 3 kwa usafiri wetu; kama mtu an akimbizwa hospitali uwepo wa daraja linakuwa swala kufa na kupona. Halafu we unaona daraja halina tija, akili zenu zinawatosha wenyewe.
Very intellectWaendelee kusikitishwa tu
Wananchi walipokuwa wanasikitishwa na kugeuza chombo cha umma kuwa mali ya watu fulani mbona hawakusema!
Tutaelewana mbele
Wanafaa wa tafakari kuwa wanakosea wapi kabla ya kulalamika.Shirika la Utangazaji Tanzania (TBC) Limesikitishwa na kitendo uongozi wa CHADEMA kuwakemea na kuwafukuza watangazaji wake katika mkutano wao wa kuzindua Kampeni za Mgombea wao wa Urais katika viwanja vya Zakheim, Mbagala Jijini Dar es Salaam, jioni hii.
TBC1 na TBC Taifa kama chaneli za umma zilikuwa zinarusha matangazo ya moja kwa moja kwenye uzinduzi huo kwa mujibu wa sheria na miongozo ya Tume ya Taifa ya Uchaguzi.
Hata hivyo, kwa mujibu wa mwongozo wa Tume wa mwaka 2020, (kifungu e na j), kanuni za maadili ya tasnia ya habari; vyombo vya utangazaji vya umma pia vinao wajibu wa kuhakikisha maudhui yanayorushwa hewani yanazingatia maadili ya taaluma na ya jamii.
Kitendo cha uongozi wa CHADEMA kutangaza kuwafukuza watangazaji wa TBC si cha kiungwana na kinahatarisha usalama wa watendaji hao na vifaa vyao.
Pamoja na kwamba TBC inapanga kutoa taarifa rasmi Polisi na kwenye Tume ya Taifa ya Uchaguzi, kwa sasa inasitisha rasmi kurusha matangazo ya CHADEMA hadi hapo watendaji wake watakapohakikishiwa usalama.
TBC inapenda kutimiza wajibu wake wa kisheria na imekuwa tayari, siku zote, kufanya kazi na vyama vyote vya siasa bila ubaguzi.
Wanakula kodi zangu hawaWakumbuke TBC ni shirika la umma siyo mali ya CCM. Waache kutumika.
Libadili jina, liwe shirika LA utangazaji Lumumba (LBC)Shirika la Utangazaji Tanzania (TBC) Limesikitishwa na kitendo uongozi wa CHADEMA kuwakemea na kuwafukuza watangazaji wake katika mkutano wao wa kuzindua Kampeni za Mgombea wao wa Urais katika viwanja vya Zakheim, Mbagala Jijini Dar es Salaam, jioni hii.
TBC1 na TBC Taifa kama chaneli za umma zilikuwa zinarusha matangazo ya moja kwa moja kwenye uzinduzi huo kwa mujibu wa sheria na miongozo ya Tume ya Taifa ya Uchaguzi.
Hata hivyo, kwa mujibu wa mwongozo wa Tume wa mwaka 2020, (kifungu e na j), kanuni za maadili ya tasnia ya habari; vyombo vya utangazaji vya umma pia vinao wajibu wa kuhakikisha maudhui yanayorushwa hewani yanazingatia maadili ya taaluma na ya jamii.
Kitendo cha uongozi wa CHADEMA kutangaza kuwafukuza watangazaji wa TBC si cha kiungwana na kinahatarisha usalama wa watendaji hao na vifaa vyao.
Pamoja na kwamba TBC inapanga kutoa taarifa rasmi Polisi na kwenye Tume ya Taifa ya Uchaguzi, kwa sasa inasitisha rasmi kurusha matangazo ya CHADEMA hadi hapo watendaji wake watakapohakikishiwa usalama.
TBC inapenda kutimiza wajibu wake wa kisheria na imekuwa tayari, siku zote, kufanya kazi na vyama vyote vya siasa bila ubaguzi.
Mwanasiasa yeyote makini awezi kukataa fursa ya bure ya kuwafikia wapiga kurawengi waliopo majumbani kwao.Changamoto za Watanzania si madaraja tu, Ni pamoja na usawa kwa jamii yote ya watanzania.TBC imekua haitoi nafasi kwa vyama vya upinzani, wakati hiki chombo ni chombo cha umma, Kinafanya kazi kwa kutumia kodi za watanzania hivyo hakina usawa linapokuja suala la matangazo.
Mie mwenyewe nashangaa why hawajarushiwa maweWamefanyiwa utu sana kufukuzwa! Walipaswa wapigwe kabisa CCM branch hiyo!