Uchaguzi 2020 Shirika la Utangazaji Tanzania (TBC) limesikitishwa na kitendo uongozi wa CHADEMA kuwakemea na kuwafukuza watangazaji wake


Tbc walienda kufanya nn?
Wao wanajua fika matamshi ya chadema ni sumu kwenye mic zao Sasa wao walienda kufanya kitu gani?
 
Kumbe Mbowe ni umma
 
Changamoto za Watanzania si madaraja tu, Ni pamoja na usawa kwa jamii yote ya watanzania.TBC imekua haitoi nafasi kwa vyama vya upinzani, wakati hiki chombo ni chombo cha umma, Kinafanya kazi kwa kutumia kodi za watanzania hivyo hakina usawa linapokuja suala la matangazo.
 
Wanafaa wa tafakari kuwa wanakosea wapi kabla ya kulalamika.
 
Libadili jina, liwe shirika LA utangazaji Lumumba (LBC)
 
Mwanasiasa yeyote makini awezi kukataa fursa ya bure ya kuwafikia wapiga kurawengi waliopo majumbani kwao.

Hizo ni hasira za mkizi...........

Hapo ni sawa na CDM kujinyima haki yao ya kusikilizwa na mamillioni ya wapiga kura kila watakapoenda huko mbeleni.

Uwezi laumu Azam na ITV wasipotokea kwenye mikutano yao ni kampuni binafsi; hila TBC wasipokuwepo na wewe unataka audience unaweza toa lawama.

Kupanga ndio kuchagua.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…